Siamini ninachokiona kwa wanaume wa kileo

Siamini ninachokiona kwa wanaume wa kileo

Ukiona anatusema sana sisi wanaume ujue anataman kuwa kama sisi au kaachika mara nyingi hivyo anatuonea wivu
 
August 1 naanza kuandaa nyuzi za kunanga flaws za wanawake.
 
Minaona sasa hivi mtu ukitaka kumnanga tunatumia usasa mbona zamani lift za baiskel za phonex watu walikuwa wanapeana pasipo kunangana
 
Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Miss "GENERALIZATION" katika ubora wako.
 
KWAKO KRITIKA
1.Niliwahi kutoa comments katika mabandiko yako utafute mwanasaikolojia akusaidie,unahitaji msaada my dear maana unapoelekea siko.
2.Chuki uliyonayo itakuja kukugharimu siku moja ukafanya jambo baya ambalo hukutegemea.Kuwa makini
3.Kama hautobadilika ndugu jiandae kuwa "KICHAA" katika siku za usoni
4.Kukaa kuwachukia wanaume wala haitokuwa suluhu ya kutatua matatizo yako uliyonayo,ndio kwanza utakuwa unayaongeza
5.Kwa imani yako uliyonayo jitahidi ufanye maombi kwa muumba wako ili akusaidie kukuondolea KIBURI ulichonacho maana hakina msaada kwako kumbuka hapa duniani tupo kwa msimu tu.KIBURI kitakufanya uangamie kama alivyoangamia FARAO wa MISRI.
 
Huyu mwanadada inaelekea amejeruhiwa sana alafu hana mtu wa kumtolea stress.
 
Back
Top Bottom