mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Nimepitia kaburi no. 10 nikagundua kuwa hata gari anayochambia watu alikopeshwa na Anko yake na NancyAisee nimekosa neno la kuchangia kwa jinsi ulivyofukua makaburi.
Gari yenyewe amekopeshwa mkuu. na alie mkopesha kamtajaWw kumiliki gar unaona umemalza kila kitu. Huo co ujanja wako kumlk ulvyo navyo. Unaweza kuwa fukara ndani ya siku moja na kuishia kua omba omba. Mshukuru mwenyezi mungu kwa ulpo na sio kuleta maneno ya dharau na kuona wengne n wapumbavu.
Ni kweli tunakazi sana. Ila mwanamke hawezi kushindana na sisi wanaume. Hata mfanyaje na hivi siku hizi mlivyo wengi hakuna stress kbsa.Wanaume kazi mnayo
Siyo wanaume tyNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Mkiweza tu kumiliki hivyo vigari vyenu vya mil6 Saba nane tena kuhongwa basi wasio navyo mnawaona wajinga tuNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Usafiri wa Dar ni majanga sio kama tunapenda kujipendekeza kwenye hako ka PASSO kakoNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Wacha weeehNi kweli tunakazi sana. Ila mwanamke hawezi kushindana na sisi wanaume. Hata mfanyaje na hivi siku hizi mlivyo wengi hakuna stress kbsa.
Mume wake atakua anashidaMkuu mbona mada zako ni za kutunanga vidume tuu
Kwani ni lazima huishi na mwanume wa hivyo, mbona wanaume wamejaa wengi tu huku mtaani na ni wenye magari na hela nyingi mbona hujawafuata sio level zako, huyo mwanaume ndiyo level yako so acha kubwatuka kama mbwa koko, ukiona umekaa na mwanaume fulani basi ujue huyo ndiyo kiwango chako ukijaribu level nyingine wewe ndiyo utateseka mpaka ukomeNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Tatizo ni mwanaume anaeishi naeIvi we mbona post zako ni za kutuchamba sisi tu ni wapi tumekukosa we mama ?