Siasa gani hizi! Hofu yote ya nini hii?

Siasa gani hizi! Hofu yote ya nini hii?

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?

CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!

Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
 
Tulitaka upinzani wa “ geresha mabeberu”watupe hela za demokrasia. Sasa huyu Mbowe na wana CHADEMA wanaleta upinzani wa kweli, wameivunja vunja CCM,, hatuwezi kukubali, tuta washughurikia.

“Shitholekantry”
 
Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasabish wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Yaani kwa kweli unawaza mpaka unashindwa kuelewa.
 
Tulitaka upinzani wa “ geresha mabeberu”watupe hela za demokrasia.
Sasa huyu Mbowe na wana CHADEMA wanaleta upinzani wa kweli, wameivunja vunja CCM,, hatuwezi kukubali, tutawashughurikia.
🥰🥰
 
Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasabish wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Nyumba zangu mbili nimepangisha wana ccm mmoja ni Katibu wa CCM wilaya. Na hatujawahi kugombana kwa lolote.

Kuna wahuni huko juu wanataka kutugombanisha kwa maslahi yao.
 
Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasabish wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Huko mbozi CCM kwa CCM wanakatana mapanga
 
Tulitaka upinzani wa “ geresha mabeberu”watupe hela za demokrasia. Sasa huyu Mbowe na wana CHADEMA wanaleta upinzani wa kweli, wameivunja vunja CCM,, hatuwezi kukubali, tuta washughurikia.

“Shitholekantry”
Si ajabu akafungwa kweliiii!
 
Yule chizi alopita JPM alisema Angefuta upinzani
Alipora uchaguzi ili chama chake kinski pekee bungeni uchaguzi wa SM pia
Matokeo yake wanaweweseka na kukataa mapanga wao kwa wao
Mashetani wakubwa hawa
 
Upinzani ni uadui..

Hayati Magufuli alianzisha haya,, na wengine hadi walinunuliwa kuhamia sisiemu.. nafikiri ni mkakati wa kufuta hiki chama cha siasa
 
Ugomvi mkubwa uliibuka baada ya chadema kugundua wagombea wao wanaenguliwa kihuni na kilele cha ugomvi ni baada ya chadema kuibiwa kura za wazi kipindi cha uchaguzi
Usisahau pia viongozi wengi wa chadema wamepotezwa kipindi cha jiwe
 
Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?

CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!

Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Wachochezi,wanachochea uchumi kushuka wanashirikiana na mabeberu ili watawala washindwe kufikiri vizuri
 
Kwa hiyo mkibambikia watu kesi na kuteka watu uchumi utakua? hizi ndio akili za CCM
Haa umenikumbusha CCM mbele kwa mbele kama manyumbu kwa kinyakyusa tunaita herding behavior, an occurrence of thoughtful people, suspending their individual thinking, because of fear in this case fearing their leaders or self a Absorbed group'
 
Back
Top Bottom