Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Salamu,
Napata wakati mgumu sana nikiwaza juu ya kuuawa kwa Rtd Officer, Ally Mohammed Kibao, natafakari sana na sijaweza kuwa sawa kuhusu kifo cha huyu mtu muhimu sana kwa Taifa.
Nawaza ya kwamba waliomuua Ally Kibao wana leseni ya kumuua awaye yeyote yule.
Mti wenye damu huzaa matunda yenye damu, je kwa sasa vyombo vya dola kazi yao ni kuua uhuru na amani?
Je, kazi ya vyombo vya dola ni kufifisha uhuru wa kufikiri, maoni, na mawazo?
Je, nalo hili ni Taifa la watu kusahau haraka kadhia ya mauaji na kupotea?
Je, historia hujirudia kwa kila jambo?
Utamaduni wa kusahau haraka ndio utadumisha uovu uendelee, kuhubiri amani kwenye majonzi ni kazi bure.
Maisha yapo na maisha yanaendelea, je kuna hiari nyingi na kusudi nyingi katika haya Kuzaliwa, kufa, kuua, kuuwawa na kuishi?
Je, kifo ni adhabu? Kuua ni adhabu? Ni sifa ya kupongezwa? Nini nafasi ya Mungu katika Taifa?
Ni maswali tu maisha ni kuishi na katika kuishi kuna kuzaliwa na kisha kufa.
Nyuma na mbele inategemea na ulipo, mbele inaweza kuwa nyuma na nyuma inaweza kuwa mbele.
Alikuwepo Thadei Ole Mushi lakini Leo hii hayupo na watu wamesahau.
Maisha ni abstract term.
Wadiz
Napata wakati mgumu sana nikiwaza juu ya kuuawa kwa Rtd Officer, Ally Mohammed Kibao, natafakari sana na sijaweza kuwa sawa kuhusu kifo cha huyu mtu muhimu sana kwa Taifa.
Nawaza ya kwamba waliomuua Ally Kibao wana leseni ya kumuua awaye yeyote yule.
Mti wenye damu huzaa matunda yenye damu, je kwa sasa vyombo vya dola kazi yao ni kuua uhuru na amani?
Je, kazi ya vyombo vya dola ni kufifisha uhuru wa kufikiri, maoni, na mawazo?
Je, nalo hili ni Taifa la watu kusahau haraka kadhia ya mauaji na kupotea?
Je, historia hujirudia kwa kila jambo?
Utamaduni wa kusahau haraka ndio utadumisha uovu uendelee, kuhubiri amani kwenye majonzi ni kazi bure.
Maisha yapo na maisha yanaendelea, je kuna hiari nyingi na kusudi nyingi katika haya Kuzaliwa, kufa, kuua, kuuwawa na kuishi?
Je, kifo ni adhabu? Kuua ni adhabu? Ni sifa ya kupongezwa? Nini nafasi ya Mungu katika Taifa?
Ni maswali tu maisha ni kuishi na katika kuishi kuna kuzaliwa na kisha kufa.
Nyuma na mbele inategemea na ulipo, mbele inaweza kuwa nyuma na nyuma inaweza kuwa mbele.
Alikuwepo Thadei Ole Mushi lakini Leo hii hayupo na watu wamesahau.
Maisha ni abstract term.
Wadiz