Aiseeee....Wakuu,
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.
Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?
Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!
Tanzania tumefika kubaya kila kitu sasa kimegeuka siasa.Wakuu,
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.
Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?
Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!
Fifa sio wajinga kupinga harakati za kisiasa katika michezo. Kwani hawajui wote ni watu wazima.?Sasa kaka walio beba mabango wamezidi miaka 18 na kwa ujinga wao au njaa zao wanefanya hvyo tuseme wewe kama niwanao unawafanyaje?
Wana CCM huwa hawaachi kupiga kura,na hapo ndipo CCM hupiga bao,hizo hamasa za kujiandikisha ni kwa nyie msioipenda CCMWananchi kupuuzia zoezi la kujiandikisha linawaumiza sana vichwa na bibi chaudele mwenyewe anajua ni kiasi gani hakubaliki na wengi sasa hizo ni "mbunu" ili angalau wajifariji
Kama yangekua ni mabango ya vyama vya upinzani kwanza kabisa ambao wangekua wameyabeba sasa hivi wangekua ICU na wodi zingine kwa sababu ya kipigo kikali kutoka kwa policcm
Hizo hamasa ni kwa ajili ya kuhamasisha watu wenye akili timamu wanao jitambua ambao wameamua kuachana na maigizo yanayoitwa uchaguziWana CCM huwa hawaachi kupiga kura,na hapo ndipo CCM hupiga bao,hizo hamasa za kujiandikisha ni kwa nyie msioipenda CCM
Akili timamu utoe wapi!?Hizo hamasa ni kwa ajili ya kuhamasisha watu wenye akili timamu wanao jitambua ambao wameamua kuachana na maigizo yanayoitwa uchaguzi
Unadhani kila mtu ni zezeta kama ulivyo weweAkili timamu utoe wapi!?
Hapana hayo mabango yanahamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na siyo serikali kuwaingilia tff katika maamuzi yao.mbona goli la mama na anapomlipa kocha wataifa stars hamsemi kuwa mtafungiwa?Wakuu,
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.
Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?
Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!
Pia soma:
Kuelekea 2025 - Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?