Siasa imeendelea kupenyezwa kwenye michezo bila kujali athari zake mbeleni, mpaka Tanzania tufungiwe ndio akili zitakaa sawa!

Siasa imeendelea kupenyezwa kwenye michezo bila kujali athari zake mbeleni, mpaka Tanzania tufungiwe ndio akili zitakaa sawa!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Screenshot_20241020_015452_Instagram.jpg

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.
Screenshot_20241020_015331_Instagram.jpg

Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?

Screenshot_20241020_015526_Instagram.jpg

Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!

Screenshot_20241020_015504_Instagram.jpg
Screenshot_20241020_015344_Instagram.jpg

Pia soma:
Kuelekea 2025 - Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
 
Sasa kaka walio beba mabango wamezidi miaka 18 na kwa ujinga wao au njaa zao wanefanya hvyo tuseme wewe kama niwanao unawafanyaje?
 
Wakuu,


Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.

Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?


Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!

Aiseeee....
 
Hao niwatu wao wala sio washabiki wasoka, naingekua niyachama kingine getini wasingepita
 
Wakuu,


Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.

Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?


Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!

Tanzania tumefika kubaya kila kitu sasa kimegeuka siasa.
Nawalaumu watawala kwa kuwachekea machawa impact yake itakuwa kubwa sana ipo siku na wao watawachukia machawa wakiwa hawako madarakani. Sasa hivi inawafurahisha kwa sababu inawanufaisha ila wakiondoka madarakani ndipo wataona shida ilipo.
 
Sasa kaka walio beba mabango wamezidi miaka 18 na kwa ujinga wao au njaa zao wanefanya hvyo tuseme wewe kama niwanao unawafanyaje?
Fifa sio wajinga kupinga harakati za kisiasa katika michezo. Kwani hawajui wote ni watu wazima.?
 
Wananchi kupuuzia zoezi la kujiandikisha linawaumiza sana vichwa na bibi chaudele mwenyewe anajua ni kiasi gani hakubaliki na wengi sasa hizo ni "mbunu" ili angalau wajifariji
Kama yangekua ni mabango ya vyama vya upinzani kwanza kabisa ambao wangekua wameyabeba sasa hivi wangekua ICU na wodi zingine kwa sababu ya kipigo kikali kutoka kwa policcm
 
Wananchi kupuuzia zoezi la kujiandikisha linawaumiza sana vichwa na bibi chaudele mwenyewe anajua ni kiasi gani hakubaliki na wengi sasa hizo ni "mbunu" ili angalau wajifariji
Kama yangekua ni mabango ya vyama vya upinzani kwanza kabisa ambao wangekua wameyabeba sasa hivi wangekua ICU na wodi zingine kwa sababu ya kipigo kikali kutoka kwa policcm
Wana CCM huwa hawaachi kupiga kura,na hapo ndipo CCM hupiga bao,hizo hamasa za kujiandikisha ni kwa nyie msioipenda CCM
 
Sheria za FiFA hazizuii shabiki kuwa na upande wowote wa kisiasa kinachokatazwa ni mamlaka za kisiasa uingilia Sheria za Fifa

Kwahiyo hapo hamna sababu yoyote ya kufungiwa
 
Wana CCM huwa hawaachi kupiga kura,na hapo ndipo CCM hupiga bao,hizo hamasa za kujiandikisha ni kwa nyie msioipenda CCM
Hizo hamasa ni kwa ajili ya kuhamasisha watu wenye akili timamu wanao jitambua ambao wameamua kuachana na maigizo yanayoitwa uchaguzi
 
Tufungiwe tuu kama marefa wenyewe ni kama kina Kayoko...
Shweinziiii
 
Wakuu,


Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.

Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?


Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!


Pia soma:
Kuelekea 2025 - Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
Hapana hayo mabango yanahamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na siyo serikali kuwaingilia tff katika maamuzi yao.mbona goli la mama na anapomlipa kocha wataifa stars hamsemi kuwa mtafungiwa?
 
Back
Top Bottom