Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.
Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?
Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!
Pia soma:
Kuelekea 2025 - Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa uwanja wa mkapa katika mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa Oktoba 19, 2024.
Vyama vyote vikiamua kuchukua mabango yao kama hivi kuhamasisha mambo ya kisiasa tutafika kweli?
Mshawafanya Watanzania waichukie taifa stars kwaujinga huu, sasa mnataka mapenzi ya washabiki kwenye ligi za ndani nayo yakate!
Pia soma:
Kuelekea 2025 - Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?