Siasa imetumika kwenye vifurushi

Siasa imetumika kwenye vifurushi

Huwezi kupandisha gharama za huduma ya mawasiliano kama simu eti ndio uongeze mapato ya serikali, simu ni huduma tena muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Trilioni mbili kwa mwezi hawawezi kuipata kwa njia hiyo wakati hata mzunguko wa pesa ni mdogo.

Wao waachane na upotoshaji wa Magufuli, warudi kwa wafadhili ili watu tupate unafuu wa maisha, wataruhusiwa kukopa kwa riba ndogo na misaada watapewa tena ndio kodi zitapungua
Kwangu tigo vimerudi vilevile,elf 2 gb 1 na juzi ilikua elf 2 gb 800
Elfu 2 Gb 800!!!! You must be in a deep slumber my friend.
 
voda walipopandisha gharama za data nilihamia zantel. juzi wakati wa taharuki nikaona zantel nao wamepandisha. lakini sasa wameshusha ila voda naona wamekomaa na 10,000/2GB ujinga mtupu.

sasa kinachofuata hiki kifurushi cha dakika cha voda kikiisha nahamia zantel mazima.

hawa lazima kuwataja kwa majina japo ni unethical.
 
Dawa ni kususua hivyo vifurushi vyao

Tuone sasa hizo trillion 2 walizoweka kama target kwa kodi ya mlalahoi kama zitafikiwa
Huu mpango wakupandisha bei ni wa hayati .kama kawaida yake aijalisha biashara inakufa au laa .ndio matokeo yanayo tukuta sasa
 
Dr. Silaa amesema hiyo bei ya vifurushi vipya ni sawa kabisa kwa sababu serikali inataka mapato ya kodi yapae hadi trln 2. Mnaolalamika siyo wazalendo.
Shetani huyu Slaa anapalilia tumbo lake tuu .
 
Wabongo huwa hatujaliani, linalokuumiza ww mwengine hata halioni, we unalia vifurushi vimepanda ila mwengine kutoa hyo 20k kwa kifurushi cha siku hata haoni shida
N kupambana tu na hali zetu, gusa pale mkono wako unapofikia
 
Back
Top Bottom