Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 247
- 715
Chatu nae utumbo utamwagika nje anaponaje!! Hyo ni win win situation.mbwa atakufa siku si nyingi kwa kukosa hewa na chakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chatu nae utumbo utamwagika nje anaponaje!! Hyo ni win win situation.mbwa atakufa siku si nyingi kwa kukosa hewa na chakula
Ona ulivyo mweupe tumia akili kuwaza utajua vingi sanaMiguu ya mbwa ni the so called sukuma gang.
Ona ulivyo mweupe tumia akili kuwaza utajua vingi sana
Mama kameza Chadema akifikiri kawaweza kumbe wenzake wameshaona yalipo madhaifu wanavumilia Kama hawana malengo kumbe wanasubiria siku zifike wamalize kutoa kichwa Mama akishutuka tayari tumbo tupu Hana Wafuasi aliwakumbatia wamemrarua.View attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
CHADEMA aahhhhh!!!!!!View attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Upinzani umemezwa bwashee wamebaki wanatembea pasipo kujua wala kuona wapi wanaelekea since wamelambishwa asaliUkiielewa maana yake hujaielewa
hii haipaswi kueleweka
Magufuli alitumia nguvu kubwa, kumbe CHADEMA ni kama mende tu unaua hata ukiwa umeketi tuChadema ni msumari wenye kutu huwezi kuumeza,,vinginevyo mnakufa wote
Naona huko sahihiCCM (CHATU), MIGUU YA MBWA (MIHIMILI YA DOLA + WANANCHI)... CCM(CHATU) imemeza mihimili yote ya dola pamoja na wananchi wake wote.. Huo uelekeo wa chatu na miguu ya mbwa kuwa tofauti - Hii inaamanisha DIRA ya Taifa na Dira ya chama tawala kwasasa ni tofauti kichwa cha CHATU(Rais) kinaonekana kuingalia miguu ya mbwa kana kwamba imemzidi nguvu ya uelekeo wake na sasa anatafakari namna ya kuishinda hiyo nguvu japo ni kama kashachelewa maana MBWA HAJAFA na sasa anapata wasiwasi kuwa tayari kashakosea na yeye yupo kwenye hatari ya kufa(kupoteza nguvu aliyo nayo madarakani).
Hii colabo ya inawaumiza sana Sukuma GangView attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Duh !! Ngoja tuone !!CCM (CHATU), MIGUU YA MBWA (MIHIMILI YA DOLA + WANANCHI)... CCM(CHATU) imemeza mihimili yote ya dola pamoja na wananchi wake wote.. Huo uelekeo wa chatu na miguu ya mbwa kuwa tofauti - Hii inaamanisha DIRA ya Taifa na Dira ya chama tawala kwasasa ni tofauti kichwa cha CHATU(Rais) kinaonekana kuingalia miguu ya mbwa kana kwamba imemzidi nguvu ya uelekeo wake na sasa anatafakari namna ya kuishinda hiyo nguvu japo ni kama kashachelewa maana MBWA HAJAFA na sasa anapata wasiwasi kuwa tayari kashakosea na yeye yupo kwenye hatari ya kufa(kupoteza nguvu aliyo nayo madarakani).
Utabiri. !CCM (Chatu)wameimeza CDM( mbwa) ila Chatu hana uwezo tena wa kutambaa,mbwa ndiye anayempeleka japo haoni uelekeo😂😂. Mwisho wa game Chatu ameshatobolewa tumbo atakufa tu na akioza mbwa anatoka na kusonga mbele😂😂
Na chatu aliyetobolewa tumbo ataponaje ??!mbwa atakufa siku si nyingi kwa kukosa hewa na chakula
Lakini aliyemezwa ametoboa tumbo la mmezaji na ndiye mwenye uwezo wa kumpeleka mmezaji popote pale atakapoamua kumpeleka !!Upinzani umemezwa bwashee wamebaki wanatembea pasipo kujua wala kuona wapi wanaelekea since wamelambishwa asali
Anampelekaje na wakati hana uwezo wa kuona anakotaka kumpeleka au atategemea macho ya aliyemmeza kupata mwelekeo?Lakini aliyemezwa ametoboa tumbo la mmezaji na ndiye mwenye uwezo wa kumpeleka mmezaji popote pale atakapoamua kumpeleka !!
Fichaujinga na weweTafsiri
Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.
Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]
Mwenye miguu akishachoka ataamua kukimbia ovyo hata akitumbukia shimoni itakuwa ndio mwisho wa safari !!Anampelekaje na wakati hana uwezo wa kuona anakotaka kumpeleka au atategemea macho ya aliyemmeza kupata mwelekeo?
Kwa akili kubwa tuView attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.