Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

Tunazungumzia kanuni ya fifa kuingiza siasa kwenye mpira. Hatuzungumzii nani kamuanza nani. Israel ndiyo ameanza kuikalia nchi ya watu kimabavu
Your browser is not able to display this video.
 
Mbona kila mechi huko uingereza kuna armbands za Ukraine.... mabango ya Ukraine etc why kwa Palestine ndio nongwa?
 
Israel na dini ya Uyahudi hawaamini kabisa katika mrengo wa kushoto lakini wao wamo tu kujikweza
 


Vipi na hii ilikuwa leo katika mechi ya Liverpoll na Everton, itakuwa hawa wazungu wa sky sports wadini sana kama Azam sports
 
Hamasi walienda Kuwapiga Waisreal kwenye Ardhi yao.
Ardhi yao? Ile ardhi ilikua ya Palestine ila Israel waliipora 1960s huko. Yaani ni sawa na Idd Amin angeipora kagera alafu ipite miaka 30 tukija ipigania tuambiwe tumevamia ardhi ya Uganda!! Are you serious?
 
Fikiria Mashabiki wa Simba waende Misri na Bango la Kuisifu Izrael wakalioneshe uwanjani..

we fikiria tuu...

endelea kufikiria vizuri...

ndio maaana sheria zikawekwa kupiga marufuku hisia za kisiasa michezoni.
Sheria ipi hiyo?
 
Isn't this against free speech? Tukianza kupangiwa cha kuongea ndio itakua kaburi la media hapa Tanzania
 
media inakosa gani media wamepewa kazi kuonesha matukio yote yaliyokuwepo pale , roho inakuuma kwa sana hilo bango lingeoneshwa dakika5 ungepasuka
Hisia ulizonazo ni negativity
 
Watanzagiza mnapenda kulalamika hamjui watu weupe wapo na Akili Sana na wanapenda haki na sio mbumbumbu Kama nyie
 
Free Palestine ndio udini.????? Kwani Palestine WA anakaa waislamu peke Yao.???

Ila free Ukraine ilikuwa sio udini.???

Kuna watanzania hawa hawana akili za kufikiria hata kidogo ,wao kilichopo mbele Yao ndio wanakiamini.
Hawa ndio watu wanaofanya vita ichochewe. Nonsense kabisa

Cha msingi vita isitishwe watu wasiuliwe kuna waislam Israel lakini kuna wakristo palestina

The point ni kusitisha mapigano hatupendezwi nayo.
 
Azam ndio mwenye kosa kubwa zaidi.
Bila Azam Tv huenda hakuna mtu angemjua hicho kitu unless aliyekuwepo uwanjani, jukwaa lile.
We jamaa ni mjinga na mbumbumbu sana. Mabango yako kila mahala. Wewe mwenyewe ID yako umeweka bango, acha watu wafikishe jumbe zao usiwapangie. Uwanja mzima umeliona bango hilo moja tu? Umepangilia mwenyewe sijui hoja 10 kumbe zote pumba(vu).

Nikikunukuu, "Wadau kadhaa duniani waliofuatilia matangazo yale wameonyesha kusononeshwa na namna Tanzania kupitia Azam Media nk walivyoamua kimakusudi kushafua taswira nzima ya matangazo ya mpira wa Afrika", hao wadau wamekuambia kua hawakupenda? Umewasikia wapi?
 
AZAM Lazima watetee warabu wenzao!
 
AZAM ni wadini sana, nshasema AZAM hawana ETHICS za habari. Matangazo yao yapo kidini zaidi na sijajua kwanini Wasirivoke leseni yao ya matangazo kutoka kuwa chombo cha habari cha kijamii SECULAR na kuwa cha kidini non SECULAR.
Ni ujinga kufikiri kuwa kuiunga mkono palestina ni udini,kuna watu wajinga humu wanafikiri Israel ni wakristu,Israel sio wakristu,wana dini yao ya kiyahudi,mpk mda huu wanaamini masiha bado hajaja na hajazaliwa,wao hawana injili wanatumia torati.palestina tunamuunga mkono kwa sababu za kibinadamu juu ya madhila anayofanyiwa,hayakubali kwa binadamu yoyote mwenye akili timamu.
 
Kwenye kanuni na sheria za mpira wa miguu za FIFA, CAF na TFF haiko hivyo, hisia zinazoruhusiwa ni hisia za soka tu. Kila hisia ikiruhusiwa huzaa fujo na kuwagawa mashabiki. Kifupi ni kosa.
Nyie acheni upuuzi wenu,kwa nn Russia kaadhibiwa kwenye fifa na uefa? Kama siasa kwenye michezo haimo?
 
Nenda kasome sheria za soka za FIFA na CAF ndio utanielewa.
Milengo ya kisiasa kwenye soka huwa hairuhusiwi.
Kila mtu ana hisia zake, sasa kila mtu akaruhusiwa kuweka hisia zake uwanjani hali itakuwaje?
Na vipi kuhusu putin na Ukraine? Huhawahi kuona bango lolote likisema stop putin in war, na kwa nn Russia imeondolewa kwenye muchezo ya kimataifa kama soka na siasa ni mbalimbali?
 
We acha mkuu yani mimi mwenyewe nashangaa hili suala jinsi waafrika wanavyolichukulia kwa hisia kali kuliko hata vita zilizopo kwenye nchi za waafrika wenzao.
Watu wanabishania Dini zilizoletwa na Wazungu na Waarabu mpaka povu linatoka ! Kisha watu hao hao eti kwenye thread nyingine wanahimizana wawe na umoja wa kuiondoa CCM madarakani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ndoto za Alinacha kupata umoja huo hapa Nchini ! πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Mungu ibariki Tanzania πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…