Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

Free Palestine ndio udini.????? Kwani Palestine WA anakaa waislamu peke Yao.???

Ila free Ukraine ilikuwa sio udini.???

Kuna watanzania hawa hawana akili za kufikiria hata kidogo ,wao kilichopo mbele Yao ndio wanakiamini.
Kuna mtu kataja waislam kwenye huu uzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…