Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

Subiri hapo wanakuja Wapalestina wa Chanika.
 
Kweli mkuu hata mm niliona Ile kitu Azam walipuyanga kwakweli
Wewe una udini ndani yako. AZAM si televisheni ya taifa na wala aliyeleta hilo bango hakutumwa na azam. Kwa taarifa yako sisi kama nchi tunapinga kila aina ya ukandamizaji, dhulma na unyimwaji wa uhuru, ndo mana tuna ubalozi wa palestina hapa nchini.
Mbona tv za kimataifa zinaonesha maandamano mbali mbali duniani ikiwemo huko huko magharibi kupinga uchukuaji wa ardhi na mabavu ya Israel. Hujasikia mdudu yoyote anaesema wafungiwe sijui waonywe
 
Hana kosa kwani Hana wahariri, akiona mtu yupo uchi wa mnyama ataionyesha hiyo picha live?
Uchi wa mnyama ni kinyume na maadili, Kuunga mkono Palestina siyo kinyume na maadili wala desturi za jamii, labda kinyume na desturi yako
 
Kwenye kanuni na sheria za mpira wa miguu za FIFA, CAF na TFF haiko hivyo, hisia zinazoruhusiwa ni hisia za soka tu. Kila hisia ikiruhusiwa huzaa fujo na kuwagawa mashabiki. Kifupi ni kosa.
Ila kusemea na kutangaza ushoga ni sawa?

Acheni udini, au kama hamuwezi punguzeni,
Pale oalestina hata wasio na dini wapo na hili ni jambo msilolijua, jueni sasa
 
Ila kusemea na kutangaza ushoga ni sawa?

Acheni udini, au kama hamuwezi punguzeni,
Pale oalestina hata wasio na dini wapo na hili ni jambo msilolijua, jueni sasa
Umewaelewesha vizuri, sana sana watatukana tu.
Naweka mkazo: je kutangaza ushoga kwenye soka ndiyo maadili? Mjibu hili.
Wazungu wanakupeleka pabaya, undumilakuwili, yaani watakuambia hakuna siasa michezoni lakini bendera za kuunga mkono Ukraine zimejaa, za kuunga mkono siasa za ushoga tele uwanjani!!
 
Sisi tuliopigania Uhuru tuliitumia Dar Young Africans katika harakati zetu

Hapo unasemaje?
P9th mmq



Wakati huo hakuna timu ya Tanzania iliyokuwa inatambuliwa na FIFA. Hivyo hatukuwa tunabanwa na sheria yoyote ya FIFA.
 
Uchi wa mnyama ni kinyume na maadili, Kuunga mkono Palestina siyo kinyume na maadili wala desturi za jamii, labda kinyume na desturi yako
Watakachoweza kukujibu ni kukwambia hujasoma, ila hoja hawawezi kujibu
Na wakiona unawashinda watakutusi
 
P9th mmq



Wakati huo hakuna timu ya Tanzania iliyokuwa inatambuliwa na FIFA. Hivyo hatukuwa tunabanwa na sheria yoyote ya FIFA.
FIFA hawa hawa walioitoa Russia kushiriki World cup kwa sababu za kisiasa?
 
We acha mkuu yani mimi mwenyewe nashangaa hili suala jinsi waafrika wanavyolichukulia kwa hisia kali kuliko hata vita zilizopo kwenye nchi za waafrika wenzao.
 
Well Noted Mkuu

Cc Yericko Nyerere
 
Simhusudu mtu yeyote, bali utu na uhuru wangu. Mtu hawezi kunilazimisha nisikie anachotaka nisikie.
Haujalazimishwa chochote mkuu ila mtazamo wako kwa wazungu upo wazi na hii si mara moja kukwambia hiki kitu.
 
Azam wangeenda Buza Kwa Mpalanger kurusha Hilo tangazo sawa ila kama coverage ilikuwa uwanjani Sasa wangefanyaje kuchambua kipi kioneshwe na kipi kisioneshwe! Cameras zinacover sehemu za uwanja na vyote vilivyomo!

We ni mdini haswa na umejidhihirisha, kwahiyo ulitaka cameras zioneshe na kusifia Israel ambao ni wauwaji wa watoto wasio na hatia wa kipalestina?

Je wewe utakubali, utafurahi na kukaa kimya majitu kutoka msikojua yaje yavamie bongo yaikalie kinguvu na kuua watoto wetu?

Fyi , Israel na wazungu Wote Wala sio wakristo ni wapagani kama unawaza Kwa chuki za kidini! Na makanisa ulaya na marekani hayana kazi na hayana waumini , yamebaki kuwa majumba ya kihistoria na hutumika bure kwa sherehe za kijamii kama kipaimara, kitchen party, vikao vya familia, vikao vya harusi, mikutano ya vyama vya kikabila na associations na mnaruhusiwa kupiga mziki kucheza na kulewa! Sisi wabongo hufanyia sherehe za uhuru kanisani tunacheza bongofleva na kulewa chakari!!

Kila kanisa Lina caretaker tu wa kutunza usafi!!

Amka!
 
Abu Dhabi, United Arab Emirates

Live mechi mzima pamoja na uchambuzi wa kina kutoka uwanja wa Benjamin Mkapa National station, bango udhamini lenye jina Benjamin, BET wazee wa mikeka, pia majina ya wachezaji kama Israel hayakuminywa , ishara za peace za baadhi ya wachezaji Al Ahly zimeonekana ktk chombo hiki tajwa cha Mashariki ya Kati na wengi wameifurahia mechi hii ya soka bila kuleta hisia za kisiasa, kiimani bali roho zote zilijkita ktk burudani ya mchezo


View: https://m.youtube.com/watch?v=p0JTpdv9wew&pp=ygUKQUQgU3BvcnRzIA%3D%3D
Comments za wanamichezo waliongalia mechi hii nzima pamoja na mambo kibao yaliyoambatana kabla na baada ya mechi live kwa masaa matatu kote Mashariki ya Kati, Ghuba, Afrika ya Kaskazini n.k ktk channel ya AD Sports wakisisitiza soka michezo ni amani
اللهم صل على 🌸سيدنا محمد🌸🌸صلاة تحسن بها الأخلاق🌸 وتيسر بها الأرزاق 🌸وتدفع بها المشاق🌸 وتملى فيها الآفاق🌸 وعلى آله وصحبه وسلم🌸 صلاة دائمة🌸 من يوم خلقت الدنيا🌸 إلى يوم التلاق🌸 واسترنا بين🌸 يدك 🌸يا عزيز يا خلاق🌸
🌸اللهم صلي وسلم🌸 وزدوبارك على🌸 خيرخلق الله سيدنا 🌸محمد وعلى🌸 آله وأصحابه🌸 أجمعين عدد خلقك 🌸وزنة عرشك 🌸ورضا نفسك🌸 ومداد كلماتك🌸 وعددماخطه 🌸القلم وعدداوراق🌸 الشجر🌸 وعددماكان 🌸وعددمايكون🌸 وعددكل.متحرك🌸 وعددماسكن لي 🌸وأرضى اللهم عن🌸 أصحاب🌸 رسول ألله وعن🌸 التابعين🌸 وتابعيهم 🌸بإحسان وعلينا🌸 معهم بمنك🌸 وفضلك وكرمك


Comment nyingine :
فى ضربة جزاء واضحة للاهلى فى الشوط الأول بعد عرقلة محمود كهربا فى منطقة جزاء سيمبا !! غريبة آوى إنها متحسبتش

Comment nyingine :

هل صليت على النبي محمد اليوم صلي الله عليه وسلم تسليما كثيرا طيبا مباركا فيه ❤❤❤❤❤❤❤
 
Kwahiyo ni sawa kuutangaza ushoga kuliko kuwasemea watu waachwe huru?
 
Azam Media huwa ninawakosoa katika mambo mengi. Ila katika hiyo ishu ya bango sijui limefanya nini!!! Aisee niko upande wenu.
Mtoa mada atakuwa ndiyo wale wenzangu na mimi wanaokaririshwa eti hao Mayahudi (Zionists) ni wateule wa Mungu!! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.


Hao Mayahudi ni majitu fulani tu hivi makatili na malowezi kutoka Ulaya na Marekani, yaliyoingia Palestina kibabe kuanzia miaka ya 1900's! Na kuanza kuwaonea hao Wapalestina kwa kuwafunga kwenye jela zao, kuwaua na pia kuwapora ardhi yao. Sasa katika mazingira kama hayo, kwa nini Wapalestina wasijitee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…