KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Hope kila mmoja ameshiba pilau.
Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu. Namshukuru Mungu mtoto wa baba yangu mkubwa ni moja ya kijana walibahatika kupata ajira ya ualimu mwaka huu(alikuwa mzigo), But alipangiwa mkoa wa mbali sana na tulipo hivyo baada ya kuripoti hakurudi kwa ajili ya kujiandaa so akawa ameganda huku huko.
Cha kushangaza Mpaka sasa analia hana pesa ya matumizi kwa sababu hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara hajaingiziwa mwaka huu. Nimejaribu kufanya tafiti nikagundua baadhi ya Halmashauri walishawapa pesa ya kujikimu walimu hao ikiwemo Bukoba na Njombe, Dogo mkurugenzi wake hajasema chochote. Naomba mnisaidie uelewa juu ya hili.
Pesa hiyo inatolewa na kitengo kipi??
Kama ni mkurugenzi, kwanini wakurugenzi wengine washatoa na Wengne hawajatoa? Kila Mkurugenzi anatoa kwa namna anavyojisikia?.
Ina maana dogo mshahara wa mwezi wa 12 ndio hapati/hatapata?
Hawa wakurugenzi hawaoni wanapoteza morari ya hawa vijana?
Mpaka Rais aseme ndio pesa itoke??
Nawasilisha.
Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu. Namshukuru Mungu mtoto wa baba yangu mkubwa ni moja ya kijana walibahatika kupata ajira ya ualimu mwaka huu(alikuwa mzigo), But alipangiwa mkoa wa mbali sana na tulipo hivyo baada ya kuripoti hakurudi kwa ajili ya kujiandaa so akawa ameganda huku huko.
Cha kushangaza Mpaka sasa analia hana pesa ya matumizi kwa sababu hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara hajaingiziwa mwaka huu. Nimejaribu kufanya tafiti nikagundua baadhi ya Halmashauri walishawapa pesa ya kujikimu walimu hao ikiwemo Bukoba na Njombe, Dogo mkurugenzi wake hajasema chochote. Naomba mnisaidie uelewa juu ya hili.
Pesa hiyo inatolewa na kitengo kipi??
Kama ni mkurugenzi, kwanini wakurugenzi wengine washatoa na Wengne hawajatoa? Kila Mkurugenzi anatoa kwa namna anavyojisikia?.
Ina maana dogo mshahara wa mwezi wa 12 ndio hapati/hatapata?
Hawa wakurugenzi hawaoni wanapoteza morari ya hawa vijana?
Mpaka Rais aseme ndio pesa itoke??
Nawasilisha.