Siasa na walimu wapya 2020, hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara mwaka huu

Siasa na walimu wapya 2020, hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara mwaka huu

Hope kila mmoja ameshiba pilau.

Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu. Namshukuru Mungu mtoto wa baba yangu mkubwa ni moja ya kijana walibahatika kupata ajira ya ualimu mwaka huu(alikuwa mzigo), But alipangiwa mkoa wa mbali sana na tulipo hivyo baada ya kuripoti hakurudi kwa ajili ya kujiandaa so akawa ameganda huku huko.

Cha kushangaza Mpaka sasa analia hana pesa ya matumizi kwa sababu hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara hajaingiziwa mwaka huu. Nimejaribu kufanya tafiti nikagundua baadhi ya Halmashauri walishawapa pesa ya kujikimu walimu hao ikiwemo Bukoba na Njombe, Dogo mkurugenzi wake hajasema chochote. Naomba mnisaidie uelewa juu ya hili.

Pesa hiyo inatolewa na kitengo kipi??

Kama ni mkurugenzi, kwanini wakurugenzi wengine washatoa na Wengne hawajatoa? Kila Mkurugenzi anatoa kwa namna anavyojisikia?.

Ina maana dogo mshahara wa mwezi wa 12 ndio hapati/hatapata?

Hawa wakurugenzi hawaoni wanapoteza morari ya hawa vijana?

Mpaka Rais aseme ndio pesa itoke??

Nawasilisha.
Sio hao tu, kuna baadhi ya halmashauri hazijawahi toa pesa ya kujikim ya ajira za 2017 mpka leo yamebaki kua madai
 
Halimashauri ya mbinga mji huwa hawatoi pesa ya kujikimu na mshahaa ra huwa wanachelewesha vibaya kuna mkulurugenzi mtata halafu mchawi kinyama
Huyo mchawi ningekuwa kwenye halmashauri hyo ningemkomesha
 
Ukimletea zengwe tuuu anakubonyeza mazima kila kitu ni yeye anafanya ukiiiingia katika anga zake utajuta kumjua
Sijawahi kumuogopa mchawi hata siku moja.Nimekulia Kibondo ndani ndani huko ambapo kuna viwanda vya kutengeneza ndumba
 
Hope kila mmoja ameshiba pilau.

Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu. Namshukuru Mungu mtoto wa baba yangu mkubwa ni moja ya kijana walibahatika kupata ajira ya ualimu mwaka huu(alikuwa mzigo), But alipangiwa mkoa wa mbali sana na tulipo hivyo baada ya kuripoti hakurudi kwa ajili ya kujiandaa so akawa ameganda huku huko.

Cha kushangaza Mpaka sasa analia hana pesa ya matumizi kwa sababu hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara hajaingiziwa mwaka huu. Nimejaribu kufanya tafiti nikagundua baadhi ya Halmashauri walishawapa pesa ya kujikimu walimu hao ikiwemo Bukoba na Njombe, Dogo mkurugenzi wake hajasema chochote. Naomba mnisaidie uelewa juu ya hili.

Pesa hiyo inatolewa na kitengo kipi??

Kama ni mkurugenzi, kwanini wakurugenzi wengine washatoa na Wengne hawajatoa? Kila Mkurugenzi anatoa kwa namna anavyojisikia?.

Ina maana dogo mshahara wa mwezi wa 12 ndio hapati/hatapata?

Hawa wakurugenzi hawaoni wanapoteza morari ya hawa vijana?

Mpaka Rais aseme ndio pesa itoke??

Nawasilisha.
Hata huku halmashauri ya chato-geita geita walim hawajapata pesa ya kujikimu yaani shida tupu

Sijui shida ninini?

Inaondoa molari ya kazi kiukweli
 
Ndugu hyo pesa ina mazingaombwe mengi sana na mbaya zaid huwa haijulikan hasa ni kiasi gan???
Hope kila mmoja ameshiba pilau.

Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu. Namshukuru Mungu mtoto wa baba yangu mkubwa ni moja ya kijana walibahatika kupata ajira ya ualimu mwaka huu(alikuwa mzigo), But alipangiwa mkoa wa mbali sana na tulipo hivyo baada ya kuripoti hakurudi kwa ajili ya kujiandaa so akawa ameganda huku huko.

Cha kushangaza Mpaka sasa analia hana pesa ya matumizi kwa sababu hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara hajaingiziwa mwaka huu. Nimejaribu kufanya tafiti nikagundua baadhi ya Halmashauri walishawapa pesa ya kujikimu walimu hao ikiwemo Bukoba na Njombe, Dogo mkurugenzi wake hajasema chochote. Naomba mnisaidie uelewa juu ya hili.

Pesa hiyo inatolewa na kitengo kipi??

Kama ni mkurugenzi, kwanini wakurugenzi wengine washatoa na Wengne hawajatoa? Kila Mkurugenzi anatoa kwa namna anavyojisikia?.

Ina maana dogo mshahara wa mwezi wa 12 ndio hapati/hatapata?

Hawa wakurugenzi hawaoni wanapoteza morari ya hawa vijana?

Mpaka Rais aseme ndio pesa itoke??

Nawasilisha.
 
Hahaaaa
Pole sana kwa hayo yaliyomkuta mdogo wako. Kama ni binti basi kwa huo ukata usishangae ukipata bwana haraka na kutandikwa mimba chap chap. Na kama ni kijana wa kiume hilo usiwaze sana, atapambana kiume hata kuopoa single mother mmoja ambaye ni teacher mwenzake amtunze fresh.
 
Hakuna hyo kitu,nakumbuka ule msoto wa miez mitatu nilioupata na mpka leo unaambiwa mambo.yanachakatwa
Kuwa mwajiriwa mpya kuna mambo mengi bro pengine alichelewa kuripoti akakuta tayari halmashauri wameshatuma payroll inakuwa vigumu yeye kuupata huo mshahara wa mwezi husika , hivyo mshahara wake utakuwa ni limbikizo anaweza akalipwa mwezi unaofuata double salary hvyo mwelekeze awe mvumilivu na afuate maelekezo ya wataalamu hasa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom