Siasa ni Ajira, kuzuia mikutano ni kunyima kundi fulani ulaji


Wewe unauelewa mdogo Sana wa mambo ya Kisiasa.

Hujui kuwa Siasa hutoa pia Ajira??

Huoni ni Vijana wangapi wameajiriwa kwenye Siasa iwe ni CCM au vyama vya Upinzani?
 
Tofautisha Siasa na hayo mambo mengine...
Kwenye Siasa one mistake one goal...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…