miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Sema hujui tulia, tafsiri ni moja itekelezaji tofautipolitics ina maana kubwa hakuna anaeiweza kuitafsiri..hivyo hata ukienda china wao wanajua tafsiri nyengine ya siasa ila wapo wanazuoni wameweka viashiria tu,ili kudetermine politics..ndiyo maana hata TZ ukisema hakuna siasa unajidanganya mwenyewe.