Ndiyo unafahamu leo? We mtoto wa nurseryutaona wakati wa kampeni wagombea watamiminika kutoka kusikojulikana! hata waliokimbia nchi watarudi, kwa nini?kwa sababu kwenye kampeni kuna ulaji mkubwa, sisi oya oya! ndio tunakuwa wapiga makelele,lakini hawapo sirias na kile wanatuaminisha! wapata wafadhili lukuki wakati huo !watu wanakatwa huku wanakimbilia kule na maburungutu ya fedha!wakifika huko wanakaa! wanagawana wakubwa, sisi oya oya tunapigwa mabomu,kampeni zikiisha mnaambiwa mkalinde kura! wao wanapigana pasu habari kwisha!
utaona wakati wa kampeni wagombea watamiminika kutoka kusikojulikana! hata waliokimbia nchi watarudi, kwa nini?kwa sababu kwenye kampeni kuna ulaji mkubwa, sisi oya oya! ndio tunakuwa wapiga makelele,lakini hawapo sirias na kile wanatuaminisha! wapata wafadhili lukuki wakati huo !watu wanakatwa huku wanakimbilia kule na maburungutu ya fedha!wakifika huko wanakaa! wanagawana wakubwa, sisi oya oya tunapigwa mabomu,kampeni zikiisha mnaambiwa mkalinde kura! wao wanapigana pasu habari kwisha!