Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
Nashangaa siasa za Ulimwengu huu.Hasa KENYA na TANZANIA.
Mbona malalamiko mengi?
Kila chama kinalalamikia chama kingine hata kama hawaonyeshi njia m'badala.
Viongozi kulaumiana,
Maamuzi kulaumiwa.
Sera kulaumiwa, n.k
Au hiyo ndo siasa yenyewe?
Mbona malalamiko mengi?
Kila chama kinalalamikia chama kingine hata kama hawaonyeshi njia m'badala.
Viongozi kulaumiana,
Maamuzi kulaumiwa.
Sera kulaumiwa, n.k
Au hiyo ndo siasa yenyewe?