wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Niambie kwanza kwanini huyo kiongozi wa bongo amiliki chopa na asimiliki maghorofa/Apartments (real estates)?Choper ziko mpk za $300,000 huko.Sio inshu walaHapa Tanzania twambie ni kiingozi gani anamiliki angalau chopa 3