Siasa tunazoziona leo KENYA ni zilezile za Kikwete na Lowassa

Siasa tunazoziona leo KENYA ni zilezile za Kikwete na Lowassa

Siasa tunazoziona leo KENYA ni zilezile za Kikwete na LOWASSA Rutto alikuwa maarufu zaidi ya Kenyatta kwenye Siasa lakini akaombwa amsaidie ili apate miaka kumi na KENYATTA aje amsaidie nae kupata URAIS

Lakini leo hii Kenyatta anamgeuka na kumuunga mkono ODINGA HUKU AKISAHAU KWAMBA RUTO ALITUMIA NGUVU SANA NA PESA NYINGI KUMFANYIA KAMPENI HII NI SAWA na KIKWETE alivyomfanyia LOWASSA

MAANA aliyekuwa maarufu zaidi alikuwa Lowassa ila akakubali kurudi nyuma wakati huo wakiitwa BOYZ II MEN na kutumia nguvu nyingi sana akijua baada ya KIKWETE angefuata

Lakinj kwa roho ileile ya Kenyatta kikwete akamkataa lowassa na kumtaka MEMBE ugomvi wao ulizaa mpasuko ccm kama sio wazee chama kilitaka kumfia kikwete lakini zao lake tulikuja kupata VIONGOZI WASIOELEWEKA KATIKA NCHI YETU KINA BASHIRU KINA POLEPOLE KINA SABAYA KINA MAKONDA NA KUBWA ZAIDI TUKAPATA KIONGOZI DIKTETA

LAKINI KWA KENYA CHA TAWALA CHA JUBILEE KIMEKUFA BAADA YA KUWAPATA KINA MURATHE TUJU NA WENGINEO KUNA CHAKUJIFUNZA HAPA HASA KWA WANASIASA KUWA UNAFKI UNAWEZA KULITUMBUKIZA TAIFA KATIKA MACHAFUKO MAKUBWA SANA KENYA SASAHIVI RAIS NA MAKAMU WAKE HATA KUSALIMIA HAWASALIMIANI

LEO HII KIKWETE NA LOWASSA HATA KUKARIBISHANA NA WATOTO WAO KULA PAMOJA HAIWEZEKANI TENA
Wewe bavicha inakuhusu nini?
 
Haya nenda kanawe miguu ukalale hapo valandani kwenye jamvi
Nipo freshi, tena sana jombaa, jisaidie mwenyewe. Anza kwa kujifunza lugha, valandani ndio wapi? Sema varanda we kinyangarika.
 
Nipo freshi, tena sana jombaa, jisaidie mwenyewe. Anza kwa kujifunza lugha, valandani ndio wapi? Sema varanda we kinyangarika.
Nakuona kwenye ubora wako hapo chato dadeeki hakatizi hata panya.
FB_IMG_1555773311437.jpg
 
Nakuona kwenye ubora wako hapo chato dadeeki hakatizi hata panya. View attachment 2010653
Nikifanya nini Chato? Mimi ni mkenya jombaa, nilichofanya tu ni kujaribu kukueleza chanzo cha kiburi cha Naibu Rais Dr. Ruto. Ingependeza zaidi kama ungejikita kwenye hizo siasa zenu za maji taka. Naona zinakupa stress sio haba, hadi umechanganyikiwa mithili ya ngiri mwenye mimba.
 
Ruto alikuwa na kila kitu,Ruto anajulikana Kama self made king.Alishakuwa na vyeo vingi.Alishakuwa makamu wa rais miaka ya mwisho ya Mzee Moi.Rutto alikuwa taniri balaaa.
Self made wapi?,Rutto amekuwa maarufu kwa mgongo was Odinga.
 
Africa utashindaje bila rais aliyeko madarakani kutaka?Labda huko Zambia,Malawi Ila kwa E/Africa wote Ni walewale tu.

Atashinda yule rafiki yake kipenzi Magufuli.
Na huo ndio ukweli,Afrika Raid aliyopo madarakani ndio anachagua nani amrithi labda Wananchi watoke front.
 
Nikifanya nini Chato? Mimi ni mkenya jombaa, nilichofanya tu ni kujaribu kukueleza chanzo cha kiburi cha Naibu Rais Dr. Ruto. Ingependeza zaidi kama ungejikita kwenye hizo siasa zenu za maji taka. Naona zinakupa stress sio haba, hadi umechanganyikiwa mithili ya ngiri mwenye mimba.
Haini saidii kitu
 
Back
Top Bottom