Siasa ya Trump inavyoathiri harakati za Lissu na CHADEMA

Siasa ya Trump inavyoathiri harakati za Lissu na CHADEMA

kunowa

Member
Joined
Oct 30, 2024
Posts
33
Reaction score
46
Lissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele

Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.

Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.

Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.

Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.

Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.

Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
 
Lisu alitegemea Sana support ya nchi za magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele,
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawish international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lisu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lisu anapasa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi. Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Tangu USA ikate misaada ni muda gani sasa?Hizo athari umetumia muda gani kuziona na kuhitimisha uliyoyaandika?Yani umejifungia pangoni kwako na kuanza kutunga mambo na kujidai umebaini?Acha uongo.
 
A junk of rubbish narations
Chadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
 
Lisu alitegemea Sana support ya nchi za magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele,
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawish international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lisu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lisu anapasa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi. Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Lissu hajawahi kusema anawategema west kuendesha chama. Anaendesha chama cha siasa sio NGO
Mada yako haiko relevant ina lack facts. Jaribu tena baadae
 
Chadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Una nongwa imechanganywa na gubu vijiko sita.
 
Lisu alitegemea Sana support ya nchi za magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele,
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawish international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lisu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lisu anapasa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi. Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Sawa mke wa chadema kwa kujua yote hayo.
 
akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Wanasema ruzuku inatokana na idadi ya kura alizopata Antipasu kwenye uchaguzi huo, na si wa bunge Wala kutambua uchaguzi!!!Sina uhakika...! Sheria zinasemaje kuhusu mgawanyo wa ruzuku!
 
Watu wengine wakose huduma muhimu zikiwemo na ARVs kisha wengine wawe kwenye mavieite ya Polepole na kuendelea kunanihii pesa zao 😳!
Hakika Law of the Universe haitakubaliana na mambo hizo 🙌 🙏🙏 !
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Chadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Ruzuku ipo kisheria kwa vyama vyote sio zawadi,inaonesha wazi kabisa kwamba uelewa wako wa mambo ni mdogo sanaaa,kuna wakati tuhitahidi kuficha upumbavu ktk vichwa vyeti kuepuka fedhea za kipuuzi.Asante
 
Chadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Hebu rekebisha hiki Kiswahili chako, tumia aya na jifunze matumizi ya mkato, nukta mkato na nukta.
 
Chadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
We bichwa box kila siku mnaambiwa ruzuku haitokani na covid19 kuwa bungeni bali ni idadi ya kula.za urais alizozipata mgombea wa chadema ambaye ni tundu lisu, kwahiyo hata kama matokeo ye hayatambui lkn ukae ukijua ruzuku sio zao la covid 19 kuwepo bungeni bumunda wewe
 
Lisu alitegemea Sana support ya nchi za magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele,
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawish international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lisu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lisu anapasa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi. Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
CCM tuoneeni huruma Watanzania, Sawa mmepitisha matumizi ya uchawa (unafiki) kama Sera yenu ya kukipigania chama mfu, but at least leteni basi elites kidogo wanaojua kuandika. Hivi hamtutendei haki
 
We bichwa box kila siku mnaambiwa ruzuku haitokani na covid19 kuwa bungeni bali ni idadi ya kula.za urais alizozipata mgombea wa chadema ambaye ni tundu lisu, kwahiyo hata kama matokeo ye hayatambui lkn ukae ukijua ruzuku sio zao la covid 19 kuwepo bungeni bumunda wewe
Uchaguzi si hamukuutambua lakini? Kwahiyo kura alizopata Lisu munazitambua nakuzikubali? Si ndio maana munapokea ruzuku sio kwa sababu ya covid Ila kula za rais? Hivi wewe na Mimi bumunda hapo nani?
 
Uchaguzi si hamukuutambua lakini? Kwahiyo kura alizopata Lisu munazitambua nakuzikubali? Si ndio maana munapokea ruzuku sio kwa sababu ya covid Ila kula za rais? Hivi wewe na Mimi bumunda hapo nani?
We bumunda kweli kwahiyo ulitaka wasichukue ruzuku sababu tu hawatambui matokeo ya urais hv hilo bichwa lako ni pango la kuhifadhia meno tu
 
Back
Top Bottom