SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Elimu ya MEMKWA hiyo akili kisoda kabisaHebu rekebisha hiki Kiswahili chako, tumia aya na jifunze matumizi ya mkato, nukta mkato na nukta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ya MEMKWA hiyo akili kisoda kabisaHebu rekebisha hiki Kiswahili chako, tumia aya na jifunze matumizi ya mkato, nukta mkato na nukta.
serikali ya ccm ndo itakayoadhirikaLissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.
Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Kukubali kupokea ruzuku ni kukubal matokeo sababu ruxuku inatolewa kwa idadi ya kura mtu kapataWe bumunda kweli kwahiyo ulitaka wasichukue ruzuku sababu tu hawatambui matokeo ya urais hv hilo bichwa lako ni pango la kuhifadhia meno tu
aliyekuambia pesa inakatiliwa ni nani? Unakataa pesa kama unaona italeta matatizoChadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Lissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.
Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio huwa wana propaganda za kihivi.Lissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.
Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Brother kwani hizo hela zinatoka chama chako? Mbona povu sana. Au hujui maana ya serikaliChadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Ishara ya mtu mjinga(Kama wewe) ni kutukana watu.Chadema ndio hamna akili, Leo munampongeza lisu kwamba kwa Mara ya kwanza pesa ya ruzuku imeingia kwenye akaunti ya chama, mimi nilijua labda mungempongeza kwa kuzikataa hizo pesa. Maana uchaguzi wenyewe lisu hautambui, wala wale wabunge akina Mdee lisu hawatambui, wala maridhiano lisu hayatambui, ila ruzuku inayotokana hayo anazitambua na kuzitumia.
Daaaa!!!!!!!Ukute umeandika huu uzi huku uko kifuani kwa Mbowe.
Nchi za Magharibi ndo Marekani?Lissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.
Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Ok tuashumu kama unavyotaka wewe walikubali matokeo na wacha ruzuku wachukue kwani ni haki yao inawasaidia kuendesha shughuli za kisiasa kwani hata ccm nao wanapokea ruzuku kutoka serikalini.Kukubali kupokea ruzuku ni kukubal matokeo sababu ruxuku inatolewa kwa idadi ya kura mtu kapata
CrapLissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.
Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.
Kwa usaliti ulio nao huna tofauti na Kaisario Tiberio Pontio Pilato aliyekuwa liwali wa Uyahudi na Herode mfalme wa GalilayaLissu alitegemea Sana support ya nchi za Magharibi kwa kifedha, na watu wa kumpigia Kelele
Alitegemea kuwa Maria Sarungi angetembeza bakuli na kumchangia yeye kupata pesa za kuendesha chama. Kwamba Maria angewasawishi international NGOs na Diaspora kumchangia fedha bwana Lissu.
Kwamba kupitia Kelele za Maria Sarungi fujo na maandamano ya chadema kupitia no reform no election vingepata mwitikio change kutoka ndani na nje ya nchi.
Hali imekuwa tofauti, wakati Chadema wanapochekelea Sera za Trump wanasahau kuwa Sarungi analia kukosa pesa ya kuendeshea NGO yake, Sarungi analia hakuna wa kumhurumia tena. Mataifa ya ulaya yanahangaika kukabiliana na Sera za Trump kwa masilahi ya nchi zao. Hata Ukrain na washirika wake hawafikirii kushinda Vita tena. Wanawaza mazungumzo ya kumakiza Vita ili biashara ya gesi na umeme kutoka kwa urusi viendelee.
Lissu anapaswa kufikiri namna Bora ya kupata pesa bila western allies, bila Maria Sarungi na Diaspora, maana Sarungi mwenyewe ametaharuki na hajui pa kushika. Kodi ya nyumba Kenya inaisha anatamani kurudi nyumbani, ila huku ametukana Sana viongozi.
Diaspora hawawezi kumchangia maana na wenyewe hawajui mustakabali wao huko Marekani maana Trump hatabiliki. Na wale waliopo ulaya wana wasiwasi Sera za Trump kuigwa huko kwa baadhi ya vyama na kupata uungwaji mkono.
Usisherehekee watu kukosa ARVs kwa lengo serikali ichukiwe na wewe upate fursa ya kuongoza. Huu mchezo unatula wote.