Siasa ya Trump inavyoathiri harakati za Lissu na CHADEMA

serikali ya ccm ndo itakayoadhirika
 
We bumunda kweli kwahiyo ulitaka wasichukue ruzuku sababu tu hawatambui matokeo ya urais hv hilo bichwa lako ni pango la kuhifadhia meno tu
Kukubali kupokea ruzuku ni kukubal matokeo sababu ruxuku inatolewa kwa idadi ya kura mtu kapata
 
aliyekuambia pesa inakatiliwa ni nani? Unakataa pesa kama unaona italeta matatizo
 
We JUHA, hivi una familia? Unaiendeshaje?
 
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio huwa wana propaganda za kihivi.
 
Brother kwani hizo hela zinatoka chama chako? Mbona povu sana. Au hujui maana ya serikali
 
Ishara ya mtu mjinga(Kama wewe) ni kutukana watu.
 
Nchi za Magharibi ndo Marekani?
 
Kukubali kupokea ruzuku ni kukubal matokeo sababu ruxuku inatolewa kwa idadi ya kura mtu kapata
Ok tuashumu kama unavyotaka wewe walikubali matokeo na wacha ruzuku wachukue kwani ni haki yao inawasaidia kuendesha shughuli za kisiasa kwani hata ccm nao wanapokea ruzuku kutoka serikalini.
 
Crap
 
Kwa usaliti ulio nao huna tofauti na Kaisario Tiberio Pontio Pilato aliyekuwa liwali wa Uyahudi na Herode mfalme wa Galilaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…