Siasa za Afrika zina matatizo mengi sana, tukubali tu kuongozwa na CCM kikubwa waendelee kutii muongozo wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Siasa za Afrika zina matatizo mengi sana, tukubali tu kuongozwa na CCM kikubwa waendelee kutii muongozo wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Siasa za Afrika zina matatizo mengi sana, tukubali tu kuongozwa na CCM kikubwa waendelee kutii muongozo wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, CCM ndicho chama kilicholeta Uhuru wa Tanganyika December 9, 1961 kwa hali ya utulivu bila kumwaga damu kipindi hicho ikijulikana kama TANU

Watanzania tumenufaika na matunda ya CCM kama tujuavyo penye faida lazima kuwepo na mapungufu kidogo, mapungufu ya CCM sio makubwa ni madogo sana kikubwa ijitahidi sana kuendelea kutii muongozo wa katiba

Tanzania ina vyama vingi vya upinzani lakini vinaishia kufanya vioja visivyoisha kila wakati jambo ambalo linawafanya Watanzania wabaki CCM kwasababu ya kuchoka na timbwili na mauzauza ya vyama vya upinzani yanayofanyika kila wakati ikiwemo viongozi vya vyama kutokuachia madaraka na kunyukana wao kwa wao ndani ya Chama jambo linalowafanya Watanzania wasiwaamini viongozi wa vyama hivyo

Wapo wengi wanaoenda mbali na kusema ikiwa Wenyeviti wa vyama wanashindwa kuwapa nafasi ya madaraka kwa viongozi wengine je wakipewa uraisi watakubali kustaafu?

Wengine wanasema ikiwa mambo ambayo yanapingwa na vyama hivyo wao wenyewe wanayafanya je nani atawaamini?

Wengine wanasema ikiwa viongozi wa vyama hivyo wananyukana wenyewe kwa wenyewe iko wapi hadhi ya wao kuwa viongozi maana yake ni kuwa hawana sifa za kuongoza nchi kwasababu ya madhaifu yao ya kurushiana makombora wenyewe kwa wenyewe
 
GDP per capita ya Tanzania ni $1,200. Korea Kusini ambayo tulikuwa nayo sawa kiuchumi miaka ya 1960 sasa hivi GDP per capita yao ni $36,000.
 
Mitano tena kwa mama. Huyo DJ wacha aendelee kufanya biashara na SACCOS yake. Kwa Hali inavyokwenda ni heri Zimwi likujualo la CCM kuliko hawa wachumia tumbo.
 
Siasa za Afrika zina matatizo mengi sana, tukubali tu kuongozwa na CCM kikubwa waendelee kutii muongozo wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, CCM ndicho chama kilicholeta Uhuru wa Tanganyika December 9, 1961 kwa hali ya utulivu bila kumwaga damu kipindi hicho ikijulikana kama TANU

Watanzania tumenufaika na matunda ya CCM kama tujuavyo penye faida lazima kuwepo na mapungufu kidogo, mapungufu ya CCM sio makubwa ni madogo sana kikubwa ijitahidi sana kuendelea kutii muongozo wa katiba

Tanzania ina vyama vingi vya upinzani lakini vinaishia kufanya vioja visivyoisha kila wakati jambo ambalo linawafanya Watanzania wabaki CCM kwasababu ya kuchoka na timbwili na mauzauza ya vyama vya upinzani yanayofanyika kila wakati ikiwemo viongozi vya vyama kutokuachia madaraka na kunyukana wao kwa wao ndani ya Chama jambo linalowafanya Watanzania wasiwaamini viongozi wa vyama hivyo

Wapo wengi wanaoenda mbali na kusema ikiwa Wenyeviti wa vyama wanashindwa kuwapa nafasi ya madaraka kwa viongozi wengine je wakipewa uraisi watakubali kustaafu?

Wengine wanasema ikiwa mambo ambayo yanapingwa na vyama hivyo wao wenyewe wanayafanya je nani atawaamini?

Wengine wanasema ikiwa viongozi wa vyama hivyo wananyukana wenyewe kwa wenyewe iko wapi hadhi ya wao kuwa viongozi maana yake ni kuwa hawana sifa za kuongoza nchi kwasababu ya madhaifu yao ya kurushiana makombora wenyewe kwa wenyewe
P
 
Back
Top Bottom