Siasa za Bongo husababisha nivumilie za kwetu na kuziona nafuu

Siasa za Bongo husababisha nivumilie za kwetu na kuziona nafuu

Ulitaka Serikali ya Kenya iwacharaze viboko ? Yaani mtu akiwa dikteta asisemwe ? Ila Kenya wanasiasa wanakua mabwenyenye kwelikweli. Kuanzia Bewuot mpaka kwa Ruto
Sasa udiktekta wake unawahusu nn wakenya ?

Wakenya wapambane na miguna wao

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
P1200729.JPG
Hizi ndio siasa za ajabu ajabu za Tz. Sisiemu hoyeee, humasikini mbere kwa mbere!
 
mama.jpg
Oii, mnafanya michezo kwenye siasa alafu kwenye michezo ndio sasa mnaingiza siasa. Maanake kwenye michezo hamuonekani hata kidogo kwenye ramani ya dunia.
 
Back
Top Bottom