Siasa za chuki na kuhujumiana zitaleta mpasuko mkubwa ktk Taifa

Siasa za chuki na kuhujumiana zitaleta mpasuko mkubwa ktk Taifa

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Napenda kuwakumbusha Wana ccm na wapinzani epukeni siasa za kuhujumiana nadhani mnakumbuka yalio tokea Znz na bara miaka ya nyuma wakati ule hapakuwa na teknolojia tunayo SASA.

Vyombo vya usalama jeshi la Wana nchi wa Tanzania na usalama wataifa wa tahadharisheni viongoz wakuu kwamba hili Taifa linamtafuta muanzishaji Tu watu wamechoka na nyie mnajuwa SASA ni Bora kuwe na uvumilivu wakisiasa uchaguz upite ila kama vyama vikianza kuhujumiana na kuchomeana Moto nyumban nataka kuwahakikishia nyumban itaungua na jeshi pamoja na vyombo vya ulinzi hamtoweza zuwia.

Mimi naliogopa Sana Taifa hili na niwakumbushe Yale yalitokea Kusini kipindi cha gas maeneo ambayo ccm ilikuwa ngome ila palinuka mpaka vyombo vya usalama havikuamini.

Kuhusu Lisu na Membe Mimi nataka kusema hawa no watu hatari na nibora kukaa mbali nao maana Kwa lolote litawakuta msidhani siasa za hili Taifa zitabaki kama zilivyokuwa kiufupi dunia na makundi ya usalama dunian wanaiangalia Tz Kwa ukaribu kuliko kipindi chochote like. Hatupaswi kulala wala kuchukua kimasihara.

Hayo ndio maoni yangu.
 
Napenda kuwakumbusha Wana ccm na wapinzani epukeni siasa za kuhujumiana nadhani mnakumbuka yalio tokea Znz na bara miaka ya nyuma wakati ule hapakuwa na teknolojia tunayo SASA.
Vyombo vya usalama jeshi la Wana nchi wa Tanzania na usalama wataifa wa tahadharisheni viongoz wakuu kwamba hili Taifa linamtafuta muanzishaji Tu watu wamechoka na nyie mnajuwa SASA ni Bora kuwe na uvumilivu wakisiasa uchaguz upite ila kama vyama vikianza kuhujumiana na kuchomeana Moto nyumban nataka kuwahakikishia nyumban itaungua na jeshi pamoja na vyombo vya ulinzi hamtoweza zuwia.
Mimi naliogopa Sana Taifa hili na niwakumbushe Yale yalitokea Kusini kipindi cha gas maeneo ambayo ccm ilikuwa ngome ila palinuka mpaka vyombo vya usalama havikuamini.

Kuhusu Lisu na Membe Mimi nataka kusema hawa no watu hatari na nibora kukaa mbali nao maana Kwa lolote litawakuta msidhani siasa za hili Taifa zitabaki kama zilivyokuwa kiufupi dunia na makundi ya usalama dunian wanaiangalia Tz Kwa ukaribu kuliko kipindi chochote like. Hatupaswi kulala wala kuchukua kimasihara.
Hayo ndio maoni yangu.
downloadfile.jpg
 
Napenda kuwakumbusha Wana ccm na wapinzani epukeni siasa za kuhujumiana nadhani mnakumbuka yalio tokea Znz na bara miaka ya nyuma wakati ule hapakuwa na teknolojia tunayo SASA...
Hivi Lisu anashindwa kuwa mstaarabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
 
Hivi su anashindwa kuwa mstaarabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
Kwa hiyo suluhisho ni kushambulia msafara wake na kuchoma ofisi ya chama chake?

Kwanini msimkamate kama mlivyomkamata Sugu?
 
Hivi lisu anashindwa kuwa mstaalabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
kuna kosa gani akiongea na wanachama wenzake, jaribu kuficha ujinga wako.
 
Napenda kuwakumbusha Wana ccm na wapinzani epukeni siasa za kuhujumiana nadhani mnakumbuka yalio tokea Znz na bara miaka ya nyuma wakati ule hapakuwa na teknolojia tunayo sasa...
Sioni cha kukupa zaidi ya asante, kuna watu wanaamini amani tuliyonayo inatokana na Polisi. Kuna watu wanaamini amani tuliyonayo inatokana na woga wa watanzania.

Hayo yote mawili ni dhania, watu wakichoka hakuna atakayeweza kuwazuia.
 
Kuna watu wanachukulia vitu kirahisirahisi sana, kukosa uelewa na kuijua dunia kunawaletea baadhi watu shida kidogo...kila jambo la hatari huanza kidogokidogo na likipuuziwa hukua na hukua na mwisho wa siku mtu akidondosha kichungi cha sigara tu mlipuko wa hatari lazima utokee...tuwe makini..
 
Membe ni kachero wa system ana watu ndani ya system je anatumika kuhujum wapinzani? Mbona kakaa kimya?au kamwacha lisu awashe moto? baadae na yeye awashe? Lisu katoka kwa mabeberu je na yeye anatumika? Ngoja tuone!!!Now that mkapa is gone!je mzee wa msoga atamsaidia jpm kimawazo kuivusha nchi?
 
Hivi lisu anashindwa kuwa mstaalabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
Kajifunze kiswahili na kuandika kwanza ndio uanze kumjifunza Lissu na siasa. Halafu uniambie CCM wamekeshesha watoto uwanja wa Taifa mpaka kufikia kupigana mitama hadharani, walikuwa wanahubiri amani au chuki kwa wenzao?
 
Napenda kuwakumbusha Wana ccm na wapinzani epukeni siasa za kuhujumiana nadhani mnakumbuka yalio tokea Znz na bara miaka ya nyuma wakati ule hapakuwa na teknolojia tunayo sasa...
Kile ukipandacho ndicho utarajie kukivuna pia. Toka 2016 kulitamalaki matendo ya kukiuka kwa makusudi katiba na sheria za nchi, ili kukibeba chama tawala na kuviminya vile vya upinzani. Mazoea hujenga tabia, hali hii iliwafanya CCM kubweteka sana kwa kufanya siasa wao wenyewe huku vyama vingine vikipewa masharti magumu.

Sasa imefika kipindi cha "NI YEYE" aliyebeba matarajio chanya, kukabiliana kihoja dhidi ya "NI YULE" ambaye ametufikisha hapa katika mtanziko mkubwa wa kijamii na kiuchumi huku akiwa amezungukwa na wanafiki wengi.
 
Napenda kuwakumbusha Wana ccm na wapinzani epukeni siasa za kuhujumiana nadhani mnakumbuka yalio tokea Znz na bara miaka ya nyuma wakati ule hapakuwa na teknolojia tunayo sasa..
Wasifikiri watanzania watakuwa makondoo wakati wote! Wakumbuke yaliyotokea kibiti, chuki, chuki zikifika kooni kinachofuata watajuta!
 
Back
Top Bottom