share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Office mlichoma wenyewe,
Nasikia ni.mpango wa lema.
Hivyo ulishawahi kuwa na akili? Au bichwa limejaa hewa!! Full mzigo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Office mlichoma wenyewe,
Nasikia ni.mpango wa lema.
Naunga mkono hoja ila baada ya kushauri watu wa kukaa nao mbali, umesahau kushauri watu wa kukaa nao karibu!.
P
Wana CCM hawaamini jinsi Watanzania walivyosisimka baada ya Mpendwa wao kurejea nchini.Hata mkipiga mawe,risasi au mabomu hawatawasikiliza wala kurudi nyuma.Kile ukipandacho ndicho utarajie kukivuna pia. Toka 2016 kulitamalaki matendo ya kukiuka kwa makusudi katiba na sheria za nchi, ili kukibeba chama tawala na kuviminya vile vya upinzani. Mazoea hujenga tabia, hali hii iliwafanya CCM kubweteka sana kwa kufanya siasa wao wenyewe huku vyama vingine vikipewa masharti magumu.
Sasa imefika kipindi cha "NI YEYE" aliyebeba matarajio chanya, kukabiliana kihoja dhidi ya "NI YULE" ambaye ametufikisha hapa katika mtanziko mkubwa wa kijamii na kiuchumi huku akiwa amezungukwa na wanafiki wengi.
Zile risasi pia ni Lema na mbona hamkamati sasa. This is rubbish, utter rubbish.
SureAmebaki Askofu Bagonza Na Emaus Bandikile, Askofu Niwemugizi alishapigwa pini
..Duh!..kumbe Sabaya ndio chanzo cha zile vurugu?Chadema wajinga Sana. Yaani dc ole sabaya kawavuruga Sasa wanahangaika mitandaoni. Uhuni wenu kijana mdogo kawakalisha, je akija baba lao itakuwaje?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sijawahi kuona bandiko lako lenye weledi au kuwa na maana, yote ni pumba tu. Kwa taarifa yako hakuna kosa wala sheria aliyoivunja. kasome utaelewa lkn sidhani kama utasoma kwani akili yako sio ya kiusomaji.Hivi Lisu anashindwa kuwa mstaarabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
Duu so kule Mongolandege nako kuliguswa ? Basi psych. InasumbuaHivi Lisu anashindwa kuwa mstaarabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
Emu tuthibitishie uko chini kumeharibikaje ulimpa ndogo ama ilikuwaje mpaka ukajua chini kumealibikaHivi Lisu anashindwa kuwa mstaarabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.
Haya maoni ila wakukaa karibu naye wanamjuwa mm siongei siasa naongea uhalisia kwenye kuhujumiana tutaumizana Sana tena SanaNaunga mkono hoja ila baada ya kushauri watu wa kukaa nao mbali, umesahau kushauri watu wa kukaa nao karibu!.
P
Naamini majawabu yapo. Kuvuruga Tanzania ni Dhambi isiyosameheka. Wanasiasa waangalie kila step wanazochukua kinda umojaHaya maoni ila wakukaa karibu naye wanamjuwa mm siongei siasa naongea uhalisia kwenye kuhujumiana tutaumizana Sana tena Sana
Joined 15 June 2020Hivi Lisu anashindwa kuwa mstaarabu kwa kutafuta wadhamini kimya kimya mpaka ahutubie umma anachokifanya lissu ni utoomuchnow ambao sisi kama watanzania hatukuuzoea ni kama vile Una taka kuweka hotel ya nyota tano uswahilini yeye ndiye chanzo cha chuki hizi kwanini hasingesubiri muda wa kampeni anachofanya lissu ni uanaharakati na tabia za wanaharakati kama maghaidi wako tayari kufa lisu amekata tamaa maana nasikia baada ya kupigwa risasi kule chini nako kuriharibiwa vibaya kwaiyo hana cha kupoteza.