Sasa manzoki amekuja kufanya nini kama sio siasa? Hivi hujuI Ameletwa na nani kama sio kiongozi anaetetea nafasi yake!Unaweza ukadhani una akili kumbe wewe ni zuzu.
Nani kamleta Manzoki? Hujui
Uwepo wa Manzoki pale kuna mgombea atanufaika moja kwa moja? Hapana
Alipopewa nafasi ya kuongea kasema nini? Hujui.
Vipi Ibenge na yeye kaja kwa ajili kiongozi apate kura? Huna jibu.
Usikurupuke kujudge vitu na kutafuta wapi fulani kakosea., hii ni mbaya sana.
Ndio vitu wanavyopenda Madunduka🤣🤣🤣🤣 ujinga ujinga tuSikuwahi kujua kama viongozi wa hivi vilabu vikubwa wanawadharau kiasi hiki mashabiki wao.
Kitendo cha kumleta Manzoky ili kuwarubuni wapiga kura ni cha kusikitisha sana.
Ninakumbuka aliyewahi kuwa kiongozi wa Simba alivyowaita wapenzi wa Simba mbumbumbu.
Nahisi kila kiongozi huambiwa neno hilo anapokabidhiwa madaraka,ndio maana watu wanaweza kufanya siasa za kitoto au niite za kijinga sana ili tu wapate kura.
Ningekuwepo Leo,ningepiga kura ya hasira dhidi ya dharau kama hizi.
Hii ni dalili ya ubabaishaji mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
We kweli mbumbumbu original,hata kama huelewi hata macho yako hayaoni?Unaweza ukadhani una akili kumbe wewe ni zuzu.
Nani kamleta Manzoki? Hujui
Uwepo wa Manzoki pale kuna mgombea atanufaika moja kwa moja? Hapana
Alipopewa nafasi ya kuongea kasema nini? Hujui.
Vipi Ibenge na yeye kaja kwa ajili kiongozi apate kura? Huna jibu.
Usikurupuke kujudge vitu na kutafuta wapi fulani kakosea., hii ni mbaya sana.
Rage ajengewe mnara 😂😂😂Ndio vitu wanavyopenda Madunduka🤣🤣🤣🤣 ujinga ujinga tu
Na Ibenge kaletwa na nani?Sasa manzoki amekuja kufanya nini kama sio siasa? Hivi hujuI Ameletwa na nani kama sio kiongozi anaetetea nafasi yake!
Makorokocho fcNdio vitu wanavyopenda Madunduka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujinga ujinga tu
Mkuu unatetea ujinga, fullstop!Unaweza ukadhani una akili kumbe wewe ni zuzu.
Nani kamleta Manzoki? Hujui
Uwepo wa Manzoki pale kuna mgombea atanufaika moja kwa moja? Hapana
Alipopewa nafasi ya kuongea kasema nini? Hujui.
Vipi Ibenge na yeye kaja kwa ajili kiongozi apate kura? Huna jibu.
Usikurupuke kujudge vitu na kutafuta wapi fulani kakosea., hii ni mbaya sana.
Sitetei ujinga, ila ukiniambia uwpo wa manzoki unamnufaisha nani na kwanini, ndio tutaelewana.Mkuu unatetea ujinga, fullstop!
Mnaacha kumleta Manzoki wakati wa usajili aje acheze unamleta siku ya uchaguzi aongee kwenye kampeni, na wewe unaona ni sawa kabisa?
Sikuwahi kujua kama viongozi wa hivi vilabu vikubwa wanawadharau kiasi hiki mashabiki wao.
Kitendo cha kumleta Manzoky ili kuwarubuni wapiga kura ni cha kusikitisha sana.
Ninakumbuka aliyewahi kuwa kiongozi wa Simba alivyowaita wapenzi wa Simba mbumbumbu.
Nahisi kila kiongozi huambiwa neno hilo anapokabidhiwa madaraka,ndio maana watu wanaweza kufanya siasa za kitoto au niite za kijinga sana ili tu wapate kura.
Ningekuwepo Leo,ningepiga kura ya hasira dhidi ya dharau kama hizi.
Hii ni dalili ya ubabaishaji mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wenye kadi tumeshapiga kura .Manzoki yupo anasimamia masanduku ya kura, kuweni watulivu jamaa kaja kama wale waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa.
Acha utoto wako,unadhani watu wote tunaishi Dar na hatuna majukumu yanayotubana?Nyie wenye akili timamu hata Kadi Huna, hata mpiran huendi, hata michango hutoi
Wale wenye akili ambazo ww unaona za kizuzu ndio hao wenye kadi hai, wanaenda uwanjani, na wanalipa michango
So waache waenjoy wanachokisikia ndio wanachokipenda