Sikuwahi kujua kama viongozi wa hivi vilabu vikubwa wanawadharau kiasi hiki mashabiki wao.
Kitendo cha kumleta Manzoky ili kuwarubuni wapiga kura ni cha kusikitisha sana.
Ninakumbuka aliyewahi kuwa kiongozi wa Simba alivyowaita wapenzi wa Simba mbumbumbu.
Nahisi kila kiongozi huambiwa neno hilo anapokabidhiwa madaraka,ndio maana watu wanaweza kufanya siasa za kitoto au niite za kijinga sana ili tu wapate kura.
Ningekuwepo Leo,ningepiga kura ya hasira dhidi ya dharau kama hizi.
Hii ni dalili ya ubabaishaji mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kitendo cha kumleta Manzoky ili kuwarubuni wapiga kura ni cha kusikitisha sana.
Ninakumbuka aliyewahi kuwa kiongozi wa Simba alivyowaita wapenzi wa Simba mbumbumbu.
Nahisi kila kiongozi huambiwa neno hilo anapokabidhiwa madaraka,ndio maana watu wanaweza kufanya siasa za kitoto au niite za kijinga sana ili tu wapate kura.
Ningekuwepo Leo,ningepiga kura ya hasira dhidi ya dharau kama hizi.
Hii ni dalili ya ubabaishaji mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app