Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaaa[emoji23][emoji23][emoji23]mbna hyo statement yako haiendani na swali ulilouluza mbeleni[emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo kila kinachifanyika Kenya lazima kifanyike exactly the same nchi zote? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwn wapemba si bado wapo under zanzibar, au ilikua unatakaje wapeni nchi banaZanzibar Hakuna tatizo lolote, tatizo lipo pemba na watashugulikiwa tu
Bwahaha!!anamiliki shamba kubwa sana sehemy flani,mpokonyeni muwape wannchi walime bana[emoji23][emoji23]Aha ha haaa
Yule hana wilaya anayomiliki kama wenzake kina kenyatta, dalamare et al.
[emoji13] [emoji12] [emoji14] [emoji23]
Kuna viwa viwili huko unguja/zanzibar na pemba, sababu zanzibar imeendelea zaidi na karibu ofisi zote za serikali na ikulu ipo huko, wapemba wanaona kama wametengwa so ni ubaguzi tu kama ninyi tu.Kwn wapemba si bado wapo under zanzibar, au ilikua unatakaje wapeni nchi bana
Zanzibar na Kenya wote ni wabaguzi, dhambi ya ubaguzi ni mautiKwn wapemba si bado wapo under zanzibar, au ilikua unatakaje wapeni nchi bana
Bwahaha!!anamiliki shamba kubwa sana sehemy flani,mpokonyeni muwape wannchi walime bana[emoji23][emoji23]
Mkishalichukua rudi uje uongee sasaLile pia mbona tulimpa jamba jamba juzi kati hapa mpaka kaanza kulitunza tena. Tukijisikia tunaweza kulichukua muda wowote.
Kabisa vile cctv ilivyoamua kumbagu moh dewii, badala ya kuchukua video ikaamua kupiga picha tuZanzibar na Kenya wote ni wabaguzi, dhambi ya ubaguzi ni mauti
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mbona kila siku walalame tu, tena husema kweupe ya kwamba hawautaki muungano unawanyanyasa..Kuna viwa viwili huko unguja/zanzibar na pemba, sababu zanzibar imeendelea zaidi na karibu ofisi zote za serikali na ikulu ipo huko, wapemba wanaona kama wametengwa so ni ubaguzi tu kama ninyi tu.
Mkishalichukua rudi uje uongee sasa
Mambo za BBI na wadhamini View attachment 1613900Yani jana na we pia ulikua live kuwatch BBI pale Bomas kutokea chato[emoji122][emoji122][emoji122]
Somalia imeshasambaratika, ilianza kumeguka Somaliland, sasa hivi Jubaland inakatika.
Ethiopia nayo inasambaratika vipande vipande, Ilianza kujitoa Eritrea, sasa Hivi Tigrey inajitoa, na Oromo watafuata.
Kenya nayo ipo njiani kusambaratika, Kenya ni nchi iliyojengwa juu ya msingi dhahifu sana, Socially, politically and Culturally, yaani waakenya zaidi ya neno Kenya, hawana kitu chochote kinachowaunganisha pamoja, kila kabila linajitegemea kama taifa huru.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Umekasirika[emoji23][emoji23]Mambo za BBI na wadhamini View attachment 1613900View attachment 1613901
Huyo Nyerere ndio mbuzi wa wapi? Alafu uko busy unapiga kelele hapa and your family is being butchered by Magufuli men.
Kabisa vile cctv ilivyoamua kumbagu moh dewii, badala ya kuchukua video ikaamua kupiga picha tu