Siasa za Kenya ni vituko juu ya vituko na BBI

Siasa za Kenya ni vituko juu ya vituko na BBI

1603802217844.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo kila kinachifanyika Kenya lazima kifanyike exactly the same nchi zote? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Alaaa[emoji23][emoji23][emoji23]mbna hyo statement yako haiendani na swali ulilouluza mbeleni[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Aha ha haaa
Yule hana wilaya anayomiliki kama wenzake kina kenyatta, dalamare et al.

[emoji13] [emoji12] [emoji14] [emoji23]
Bwahaha!!anamiliki shamba kubwa sana sehemy flani,mpokonyeni muwape wannchi walime bana[emoji23][emoji23]
 
Bwahaha!!anamiliki shamba kubwa sana sehemy flani,mpokonyeni muwape wannchi walime bana[emoji23][emoji23]

Lile pia mbona tulimpa jamba jamba juzi kati hapa mpaka kaanza kulitunza tena. Tukijisikia tunaweza kulichukua muda wowote.
 
Kuna viwa viwili huko unguja/zanzibar na pemba, sababu zanzibar imeendelea zaidi na karibu ofisi zote za serikali na ikulu ipo huko, wapemba wanaona kama wametengwa so ni ubaguzi tu kama ninyi tu.
Mbona kila siku walalame tu, tena husema kweupe ya kwamba hawautaki muungano unawanyanyasa..

Km sio kweli kwnn rais wa muungano asitokee zanzibar, mumewakandamiza sana wale majamaa..sijui yule rais alikua halioni wakati anatia sahihi zama zile
 
Uongo
Somalia imeshasambaratika, ilianza kumeguka Somaliland, sasa hivi Jubaland inakatika.

Ethiopia nayo inasambaratika vipande vipande, Ilianza kujitoa Eritrea, sasa Hivi Tigrey inajitoa, na Oromo watafuata.

Kenya nayo ipo njiani kusambaratika, Kenya ni nchi iliyojengwa juu ya msingi dhahifu sana, Socially, politically and Culturally, yaani waakenya zaidi ya neno Kenya, hawana kitu chochote kinachowaunganisha pamoja, kila kabila linajitegemea kama taifa huru.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mungu atawaongoza tu ili mambo ya kqende sawiaa na vyemaaa
 
Huyo Nyerere ndio mbuzi wa wapi? Alafu uko busy unapiga kelele hapa and your family is being butchered by Magufuli men.



ona usivyo na adabu,si ajabu hata huwa unamchungulia mama yako ukipiga punyeto.

nyinyi watu mna shida vichwani.
 
Kabisa vile cctv ilivyoamua kumbagu moh dewii, badala ya kuchukua video ikaamua kupiga picha tu

 
Back
Top Bottom