Siasa za Kenya ni vituko juu ya vituko na BBI

Siasa za Kenya ni vituko juu ya vituko na BBI

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Siasa za Kenya ni vituko vitupu, nafikiri hii ndio lifestyle yao deep in their capillaries and veins, nilikua nawashangaa wakenya kwa kuporomosha matusi mazito kwenye page ya Magufuli kipindi cha Corona kumbe nilikua wrong kichizi.

Maana ya BBI ni building bridges initiative lakini kwenye hii video kinachoonekana ni blasting them away and make the valley even more huge, what a shenaniganism 😀😀😀

Hapa ni vita kabisa na hii ndio reality ya maisha ya wakenya, yaani ni kama uzao wa kambale baba ana ndevu, mama ana ndevu na watoto wanazo no order at all, hapa makamu wao ananangwa peupe nae anajibu mapigo na kuzomewa juu 😅😅😅

Jamani watanzania tuendelee tu na unafki wetu, tuendelee tu kuheshimiana na kuwa waungwana, we're are civilized

This monkey business is only a reality in bananas Republic 😅😅😅

 
Somalia imeshasambaratika, ilianza kumeguka Somaliland, sasa hivi Jubaland inakatika.

Ethiopia nayo inasambaratika vipande vipande, Ilianza kujitoa Eritrea, sasa Hivi Tigrey inajitoa, na Oromo watafuata.

Kenya nayo ipo njiani kusambaratika, Kenya ni nchi iliyojengwa juu ya msingi dhahifu sana, Socially, politically and Culturally, yaani waakenya zaidi ya neno Kenya, hawana kitu chochote kinachowaunganisha pamoja, kila kabila linajitegemea kama taifa huru.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni siasa hamuelewi nyamazeni.

sisi si kama Tanzania...kila mtu anafungwa mdomo CCM iwapumbaze.

Miaka ya toka Uhuru , huko 60s, siasa hapa imekuwa moto, akili zetu si za kulala ovyo
 
kama ni siasa hamuelewi nyamazeni...

sisi si kama Tanzania...kila mtu anafungwa mdomo CCM iwapumbaze...

Miaka ya toka Uhuru , huko 60s , siasa hapa imekuwa moto ... akili zetu si za kulala ovyo
Umeona wapi, nchi gani iliyostaarabika ambako rais na naibu wake wanashambuliana hadharani kama sio failed states kama Kenya?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Umeona wapi, nchi gani iliyostaarabika ambako rais na naibu wake wanashambuliana hadharani kama sio failed states kama Kenya?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hata huko Marekani wanaowaiga hawajafikia hapo, kijana kumkosea heshima kiongozi mkubwa wa Taifa wazi wazi, huo sio utamaduni wa Afrika.
 
kama ni siasa hamuelewi nyamazeni...

sisi si kama Tanzania...kila mtu anafungwa mdomo CCM iwapumbaze...

Miaka ya toka Uhuru , huko 60s , siasa hapa imekuwa moto ... akili zetu si za kulala ovyo
Hiyo sio siasa ni hooliganism, thuggery

Nyerere alisema democracy shouldn't be whole imported with all strings, it should be locally customized to suit the adoption process. Kwanza hata huko Marekani Hakuna democracy
 
Hiyo sio siasa ni hooliganism, thuggery

Nyerere alisema democracy shouldn't be whole imported with all strings, it should be locally customized to suit the adoption process. Kwanza hata huko Marekani Hakuna democracy
Huyo Nyerere ndio mbuzi wa wapi? Alafu uko busy unapiga kelele hapa and your family is being butchered by Magufuli men.

 
Siasa za Kenya ni vituko vitupu, nafikiri hii ndio lifestyle yao deep in their capillaries and veins, nilikua nawashangaa wakenya kwa kuporomosha matusi mazito kwenye page ya Magufuli kipindi cha Corona kumbe nilikua wrong kichizi

Maana ya BBI ni building bridges initiative lakini kwenye hii video kinachoonekana ni blasting them away and make the valley even more huge, what a shenaniganism 😀😀😀

Hapa ni vita kabisa na hii ndio reality ya maisha ya wakenya, yaani ni kama uzao wa kambale baba ana ndevu, mama ana ndevu na watoto wanazo no order at all, hapa makamu wao ananangwa peupe nae anajibu mapigo na kuzomewa juu 😅😅😅

Jamani watanzania tuendelee tu na unafki wetu, tuendelee tu kuheshimiana na kuwa waungwana, we're are way civilized

This monkey business is only a reality in bananas Republic 😅😅😅


How about you take a break from Kenya for once and focus on you country......especially during the election period 😳 😳 😡



Wenzako wanapigwa marungu .....wewe unaota tu BBI. Can you even view this tweet? Naskia the Supremo has suspended twitter indefinitely😎😎
 
Somalia imeshasambaratika, ilianza kumeguka Somaliland, sasa hivi Jubaland inakatika.

Ethiopia nayo inasambaratika vipande vipande, Ilianza kujitoa Eritrea, sasa Hivi Tigrey inajitoa, na Oromo watafuata.

Kenya nayo ipo njiani kusambaratika, Kenya ni nchi iliyojengwa juu ya msingi dhahifu sana, Socially, politically and Culturally, yaani waakenya zaidi ya neno Kenya, hawana kitu chochote kinachowaunganisha pamoja, kila kabila linajitegemea kama taifa huru.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Tanzania itasambaratika Kabla Kenya kusambaratika. Kenya hatujidanganyi kuwa hatuna makabila, tumekubaliana kuishi na ukabila wetu na kugawana rasilimali kupitia counties. Kenya ndio mnatumia kujisahaulisha kuwa mnauchaguzi na Wazanzibari wanauwawa na kukandamizwa?
 
Reports of "hired mercenaries" from Burundi killing and abducting opposition leaders in Tanzania ahead of elections on Wednesday (tomorrow). Sounds familiar? But Tanzania is worse. Tension is high in Pemba today. Opposition leader who was abducted 2 days ago yet to be found.

Hizi Ni aibu Gani Sasa!!!
 
Huyo Nyerere ndio mbuzi wa wapi? Alafu uko busy unapiga kelele hapa and your family is being butchered by Magufuli men.

Kenya uchaguzi uliopita waliuliwa zaidi ya watu 1000, na bado mkajisifia kwamba uchaguzi umefanyika Kwa amani, yaani wakenya 100 wsmepigwa rusasi wakiwemo watoto wadogo (Pendo), na bado uchaguzi mnasema ni wa Amani, hao watatu huko Zanzibar ingekua ni Kenya huo uchaguzi sijui mngeitaje. By the way Zanzibar ni wabaguzi kama huko Kenya.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kenya uchaguzi uliopita waliuliwa zaidi ya watu 1000, na bado mkajisifia kwamba uchaguzi umefanyika Kwa amani, yaani wakenya 100 wsmepigwa rusasi wakiwemo watoto wadogo (Pendo), na bado uchaguzi mnasema ni wa Amani, hao watatu huko Zanzibar ingekua ni Kenya huo uchaguzi sijui mngeitaje. By the way Zanzibar ni wabaguzi kama huko Kenya.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
huu ni uashabiki wa kijinga! natumai ccm wanakulipa kwa hizi propaganda zako, la sivyo utakuwa mtu mwenye machungu maishani.
 
Tanzania itasambaratika Kabla Kenya kusambaratika. Kenya hatujidanganyi kuwa hatuna makabila, tumekubaliana kuishi na ukabila wetu na kugawana rasilimali kupitia counties. Kenya ndio mnatumia kujisahaulisha kuwa mnauchaguzi na Wazanzibari wanauwawa na kukandamizwa?
Umesikia viongozi wako jana hapo Bomas of Kenya wakiwataka wakenya muige mfano wa Tanzania ili muweze kuishi kwa umoja na amani?, hiyo ni baada ya kugundua ukweli kwamba, Kenya mumeshindwa kuishi kama nchi moja matokeo yake kila uchaguzi mnauana kwa misingi ya ukabila.

Umesikia hotuba ya baba Pendo jana?, unachekesha ukisema kwamba Kenya mumekubali kuwa kunaukabila, sasa kwanini mnauana kama wanyama?.

Wazanzibar ni wabaguzi kama mlivyo ninyi wakenya, huu Muungano ndio unaofanya idadi ya watu wanaouliwa Zanzibar kuwa ndogo, bila Muungano Zanzibar wangechinjana kama mnavyochinjana huko Kenya

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Somalia imeshasambaratika, ilianza kumeguka Somaliland, sasa hivi Jubaland inakatika.

Ethiopia nayo inasambaratika vipande vipande, Ilianza kujitoa Eritrea, sasa Hivi Tigrey inajitoa, na Oromo watafuata.

Kenya nayo ipo njiani kusambaratika, Kenya ni nchi iliyojengwa juu ya msingi dhahifu sana, Socially, politically and Culturally, yaani waakenya zaidi ya neno Kenya, hawana kitu chochote kinachowaunganisha pamoja, kila kabila linajitegemea kama taifa huru.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwa maneno na vitendo vyenu kuwa tusipochagua CCM maendeleo hamleti ni kheri muondoke tu.
 
Siasa za Kenya ni vituko vitupu, nafikiri hii ndio lifestyle yao deep in their capillaries and veins, nilikua nawashangaa wakenya kwa kuporomosha matusi mazito kwenye page ya Magufuli kipindi cha Corona kumbe nilikua wrong kichizi.

Maana ya BBI ni building bridges initiative lakini kwenye hii video kinachoonekana ni blasting them away and make the valley even more huge, what a shenaniganism [emoji3][emoji3][emoji3]

Hapa ni vita kabisa na hii ndio reality ya maisha ya wakenya, yaani ni kama uzao wa kambale baba ana ndevu, mama ana ndevu na watoto wanazo no order at all, hapa makamu wao ananangwa peupe nae anajibu mapigo na kuzomewa juu [emoji28][emoji28][emoji28]

Jamani watanzania tuendelee tu na unafki wetu, tuendelee tu kuheshimiana na kuwa waungwana, we're are civilized

This monkey business is only a reality in bananas Republic [emoji28][emoji28][emoji28]

Pigia kura mpinzani na usahau maendeleo katika maeneo bunge lenu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeona wapi, nchi gani iliyostaarabika ambako rais na naibu wake wanashambuliana hadharani kama sio failed states kama Kenya?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Km hko kwenu rais akisema kila kitu ndio si naibu ataufyata tu, ndio manake mnaambiwa ni lazima mpigie kura ccm ndiposa mpate maendeleo au mkione cha moto
 
Umesikia viongozi wako jana hapo Bomas of Kenya wakiwataka wakenya muige mfano wa Tanzania ili muweze kuishi kwa umoja na amani?, hiyo ni baada ya kugundua ukweli kwamba, Kenya mumeshindwa kuishi kama nchi moja matokeo yake kila uchaguzi mnauana kwa misingi ya ukabila.

Umesikia hotuba ya baba Pendo jana?, unachekesha ukisema kwamba Kenya mumekubali kuwa kunaukabila, sasa kwanini mnauana kama wanyama?.

Wazanzibar ni wabaguzi kama mlivyo ninyi wakenya, huu Muungano ndio unaofanya idadi ya watu wanaouliwa Zanzibar kuwa ndogo, bila Muungano Zanzibar wangechinjana kama mnavyochinjana huko Kenya

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Yani jana na we pia ulikua live kuwatch BBI pale Bomas kutokea chato[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Km hko kwenu rais akisema kila kitu ndio si naibu ataufyata tu, ndio manake mnaambiwa ni lazima mpigie kura ccm ndiposa mpate maendeleo au mkione cha moto
Onyesha ni nchi gani ambako Naibu na rais wake wanashambuliana hadharani. Failed state ndio nchi pekee ambako hakuna law and order, viongozi wanatukanana na kugombezana hadharani. Hii haiwezi kutokea katika "Civilized Community"

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom