Siasa za kikanda: Malori 150 ya Tanzania Madereva wake wazuiwa nchini Zambia

Si mlikuwa mnamsingizia Magufuri kuwa ana uhusiano na majirani? Sasahivi lawama mnamtwisha nani! maana mwenye kubebeshwa mabaya yote hayupo.Mwambieni Samia maana alituambia amefungua Nchi

30 September 2021
I WILL BE THE CHIEF SALESMAN FOR ZAMBIA - HAIKANDE HICHILEMA (BALLY)
We have reinforced our position globally
Source : LITOVIA TV
 
30 September 2021
HAIKANDE HICHILEMA - NO TIMBER LICENSE FOR FOREIGNERS

Licences will go to Zambians , no timber licence for foreigners says President Haikande Hichilema of Zambia
Source : LITOVIA TV
Kila mtu ashinde mechi zake Go go Haikainde
 
Nini hasa hoja yako? Kwamba jamaa ni muongo au?
 
Na hiyo foleni pale Malawi Cargo Kurasini ambapo madereva wanadai wamekaa kwa zaidi ya siku tano bila kushusha mzigo toka Malawi!
 
Hapa magufuli alijua jinsi ya kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…