Siasa za Kulambisha Asali zinaangamiza Taifa bila kujua

Siasa za Kulambisha Asali zinaangamiza Taifa bila kujua

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Amini naawaambieni mambo ni Magumu mno huku kitaa lakini tuliozoea kutusemea wameshalamba asali na hawajui wafanye nini. Wametugeuka sasa wanaona kazi zetu za bodaboda na uvuvi ni za hovyo.

Bei za vitu zimepanda sana na Serikali imelala. Wapambe wanahakikisha Rais hajui mambo ya nchi. Wanchofanya ni kumpandisha ndege kwenda kuomba/kukopa pesa.

Siasa za namna hii zinalifirisi taifa, wakubwa wote wanalamba asali tu. Biashara pia ni ngumu sana. korosho nayo iko kwenye hifadhi hakuna soko. Parachichi nazo zimedoda.

Ni wakati sasa wananchi tujitenge na wanasiasa tufuate mambo yetu. Wakiita mikutano wasitukute.
 
Hayati Magufuli ameharibu nchi Mama tunabidi tumpe miaka 15 ili aweke Mambo sawa ya kiuchumi
 
"Bei za vyakula zimepanda? Sio lazima kula mara tatu kwa siku, mara moja inatosha kabisa" -alisikika chawa mmoja.
 
Back
Top Bottom