Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Kuna vitu katika maisha unaweza fanya na ukajiona uko sahihi,lakini mwisho ni majuto na maumivu,kisa cha Yuda na Yesu ni funzo bora katika maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitu kimoja.....DC hajamchafua Mama Abduli, bali ameeleza uchafu, na unyama, uliofanywa na Baba Jesca.
Ni kitu kimoja...
Mbona unajisahaulisha ?!!
Mama alikuwa ni "VP" na kuna "collective responsibility"....
Kwahiyo haupendi wananchi waambiwe ukweli wa kura zao, kumbuka mama aliwahi kusema "kura zenu wapeni upande ule lakini CCM ndiyo itakayounda serikiali".Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.
Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.
Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.
Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.
Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
Mbona mama naye aliwahi kusema hivyo, kura zenu wapeni upande ule lakini CCM ndiyo itakayounda serikali! Na Karume hivi karibuni aliwahi kusema kuwa CCM haijawahi kushinda uchaguzi Zanzibar. Kwa kauli hizi nani anamuhujumu nani!Kama kula USAMBO huwa wanaropoka wengi waliofanya mabaya hukusikia kule Singida jamaa zake yule MGANGA nduli ?!![emoji44][emoji44]
Kwa kuwa ameropoka peke yake tunajuaje kuwa ni NJAMA zake kuuchafua uongozi wa mh.Rais ?!!!
Who knows the sinister behind that havoc?!! [emoji44]
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.
Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.
Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.
Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.
Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
Nilichogundua ni kuwa yawezekana wakuu wa wilaya, Das ni watu wasiojulikana, yaani ili upate cheo hicho lazima utokee huko.Hakika [emoji7][emoji7]
....hawa washika microphone hawaaa....
Inakuwaje kiongozi wa ngazi ya DC anakuwa na mihemko haswa pale anapoguswa HISIA na wanasiasa...MADIWANI....?!!![emoji44][emoji44]
Anakuwaje hata "EMOTIONAL INTELLIGENCE"?!! [emoji44][emoji44]
Aibu kuu hii ...
Magufuli impact.. Hayati Magufuli aliwaathiri watu wengi sana .sana sanaa..Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.
Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.
Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.
Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.
Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
Ndo maana Lucas analilia teuzi kila siku kumbe kuna mambo wanayafanya nyuma ya pazia halafu wamemwacha anabamiza viporo na kung'olea mpunga majarubani huku Ruba wakimng'ang'aniaSasa DC akisema wenzangu, kama una akili timamu lazima utakuwa umeelewa ni akina nani hao wenzie!!
Lakini kama ni kundi Moja na akina Lucas, huwezi elewa!!
Ila hawakuanza leo..Waliotoa kauli hizo hawakufanywa chochote, maana yake ni kwamba kauli hizo zimekubaliwa na chama!
Siyo anaongea upuuzi, alichosema ndiyo ukweli wenyewe.Tatizo sijui ni nini yaani unapewa microphone badala ya kuonge hoja unaongea upuuzi..
There is no reserved seat for me, have to find one by going out there in the world 🌍, hahaha 🤣,fursa haziwezi kukufuata tunazifuata, (tunazitafuta), ndiyo maana wahenga walisema fuata nyuki ule asali
Wewe ulitaka wafiche mpk lini?Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.
Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.
Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.
Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.
Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.