Siasa za kuropoka chini ya kivuli cha CCM: Serikali kupata maswali magumu

Siasa za kuropoka chini ya kivuli cha CCM: Serikali kupata maswali magumu

Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.

Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.

Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.

Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.

Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
Kwahiyo haupendi wananchi waambiwe ukweli wa kura zao, kumbuka mama aliwahi kusema "kura zenu wapeni upande ule lakini CCM ndiyo itakayounda serikiali".
 
Kama kula USAMBO huwa wanaropoka wengi waliofanya mabaya hukusikia kule Singida jamaa zake yule MGANGA nduli ?!![emoji44][emoji44]

Kwa kuwa ameropoka peke yake tunajuaje kuwa ni NJAMA zake kuuchafua uongozi wa mh.Rais ?!!!

Who knows the sinister behind that havoc?!! [emoji44]
Mbona mama naye aliwahi kusema hivyo, kura zenu wapeni upande ule lakini CCM ndiyo itakayounda serikali! Na Karume hivi karibuni aliwahi kusema kuwa CCM haijawahi kushinda uchaguzi Zanzibar. Kwa kauli hizi nani anamuhujumu nani!
 
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.

Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.

Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.

Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.

Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
IMG-20240904-WA0000.jpg
IMG-20240904-WA0000.jpg
 
Wote wanaotoa kauli tata wanashughulikiwa kwa mujibu wa mteule wao, ubaya ubwela
 
Hakika [emoji7][emoji7]

....hawa washika microphone hawaaa....

Inakuwaje kiongozi wa ngazi ya DC anakuwa na mihemko haswa pale anapoguswa HISIA na wanasiasa...MADIWANI....?!!![emoji44][emoji44]

Anakuwaje hata "EMOTIONAL INTELLIGENCE"?!! [emoji44][emoji44]

Aibu kuu hii ...
Nilichogundua ni kuwa yawezekana wakuu wa wilaya, Das ni watu wasiojulikana, yaani ili upate cheo hicho lazima utokee huko.
 
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.

Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.

Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.

Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.

Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
Magufuli impact.. Hayati Magufuli aliwaathiri watu wengi sana .sana sanaa..
Hadi watakasike sio leo. Tuwape muda
 
Laana ya damu za wapinzani walizomwaga huko maporini inawarudi wanajiropokea tu kama wamekunywa maji ya chooni.
 
Sasa DC akisema wenzangu, kama una akili timamu lazima utakuwa umeelewa ni akina nani hao wenzie!!

Lakini kama ni kundi Moja na akina Lucas, huwezi elewa!!
Ndo maana Lucas analilia teuzi kila siku kumbe kuna mambo wanayafanya nyuma ya pazia halafu wamemwacha anabamiza viporo na kung'olea mpunga majarubani huku Ruba wakimng'ang'ania
 
Nimefarijika sana na kauli iliyotolewa Leo na Chama cha Mqpinduzi kuwa kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (Mtenguliwa) siyo kauli ya Chama na kuwa CCM haipo tayari kuingia kwenye uchaguzi kwa njia za kubebwabebwa" mbeleko".

Hakika inatia matumani ila bado ipo haja ya kuwaangalia sana wanaoshika microphone kipindi hiki cha kampeni.
 
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana miaka ya hivi karibuni, yaani mtu akiwa tu na nafasi na kupewa "microphone" anajiona kama sijui yupo chini ya mwamvuli gani, wanajisahau kuwa CCM inawajibika kwa wananchi na badala yake wanawaona wananchi kama watumishi wa CCM.

Kila taasisi, chama, kikundi au umoja una siri zake zinazotawala uwepo wake na siri hizo hata kama zinafahamika hazipaswi kuwekwa wazi kwa kila mtu mathalani kauli ya Mheshimiwa fulani kuwa "matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye boksi, inategemea nani anahesabu na kutangaza"...ni miongoni mwa kauli zinazowakatisha tamaa sana wapiga kura, mtu anajiuliza kama anayehesabu na anayetangaza ana uwezo wa kuwachagulia wananchi Kiongozi ni ipi nguvu au sauti ya mpiga kura?. Kauli za hivi ni kauli zisizofaa kabisa kutamkwa mbele ya halaiki ya wanachi hata kama wanaoonekana ni wajinga kiasi gani.

Si hivyo tu ipo kauli nyingine ya hivi karibuni ambayo kwa kweli inaonesha kuwa siyo kila mwanachama hata kama ni kiongozi anapaswa kukisemea chama . Kiongozi kweli unatamka kuwa "............mazingira ya 2020 ya madiwani kupita bila kupingwa yalitengenezwa na Serikali" Halafu bila aibu anagusia na mazingira ya ubakwaji wa demokrasia kwa kusema ni Serikali?.

Haya masuala yanaiachia Serikali maswali magumu ambayo yamezalishwa na wanachama waliojikinga chini ya kivuli cha chama kiasi cha kuwaona wenye chama ni kama watumishi wao.

Ipo haja sasa ya kuhakikisha Chama kinapunguza washika microphone.
Wewe ulitaka wafiche mpk lini?
 
Back
Top Bottom