OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Waswahili wanasema kumtawala mpumbavu au mjinga ni rahisi sana, lakini kumtawala mwerevu ni kazi ngumu sana.
Kikwete alimuelewa Lisu na mimi nimemuelewa, alisema "ni kheri Dkt. Slaa awe Rais kuliko Lissu kuwa mbunge"
Sasa hivi sio tena mbunge bali ni mgombea wa Urais kupitia CHADEMA.
Siasa za Lissu zinalenga ktk kuelimisha wananchi kuhusu haki zao huku akitumia kipaji chake cha ushawishi kuwaelimisha wananchi kuhusu uhuru na katiba (kuna wananchi hawajui katiba ni kitu gani ila yeye anawaelimisha)
Hizi siasa ni hatari kuliko siasa za Mrema, Slaa au Lowassa.
Lissu anawaelimisha watu na wanaelimika, ndio maana sera yake ni UHURU NA MAENDELEO YA WATU (amejikita zaidi kwenye uhuru na katiba mpya).
CCM tumieni akili msitumie matamasha kujitathimini.
Kikwete alimuelewa Lisu na mimi nimemuelewa, alisema "ni kheri Dkt. Slaa awe Rais kuliko Lissu kuwa mbunge"
Sasa hivi sio tena mbunge bali ni mgombea wa Urais kupitia CHADEMA.
Siasa za Lissu zinalenga ktk kuelimisha wananchi kuhusu haki zao huku akitumia kipaji chake cha ushawishi kuwaelimisha wananchi kuhusu uhuru na katiba (kuna wananchi hawajui katiba ni kitu gani ila yeye anawaelimisha)
Hizi siasa ni hatari kuliko siasa za Mrema, Slaa au Lowassa.
Lissu anawaelimisha watu na wanaelimika, ndio maana sera yake ni UHURU NA MAENDELEO YA WATU (amejikita zaidi kwenye uhuru na katiba mpya).
CCM tumieni akili msitumie matamasha kujitathimini.