Uchaguzi 2020 Siasa za Mbeya: Hapa Mary Mwanjelwa, Huku Tulia Ackson, kule MC Mwakipesile ndani ya CCM, CHADEMA J. Mbilinyi a.k.a SUGU

Uchaguzi 2020 Siasa za Mbeya: Hapa Mary Mwanjelwa, Huku Tulia Ackson, kule MC Mwakipesile ndani ya CCM, CHADEMA J. Mbilinyi a.k.a SUGU

Sanyambila

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
378
Reaction score
510
HABARI!!!!
Mimi binafsi nafuatilia saaana siasa za Mbeya Tangu enzi za Akina Mpesya siasa za Mbeya zinavutia saana, Nafikiri kila Chama sasa kinajipanga ili kuchukua hatamu jijini Mbeya ni miaka kumi sasa Tangu upinzani kuchukua Jimbo hilo.

CCM inajipanga kurudisha Jimbo hilo kwa udi na Uvumba sasa wote wanaonekana kuwania jimbo hilo hawa watatu,ndani ya CCM

1.DR. TULIA ACKSON - Huyu ameonesha harakati zake mapema akija na mkakati wa kusaidia akina mama na vijana kupita Tulia Trust Foundation huyu amejipanga. Je, anafaaa kwa wanaMbeya kuwa mbunge wao?

2.Dr. MARY MWANJERWA - Huyu ni mzawa wa Mbeya Jijini na ndo anajivunia zaidi na faida ya uzawa huyu ni mjukuu wa Mzee Mwanjerwa ambaye alikaa hapo Mbeya na Sehemu hiyo kuitwa Jina lake mpaka sasa sehemu ya wajanja wa Mbeya inaitwa Mwanjerwa na panazalisha zaidi ya 800.M kwa mwezi.

3.MC.MWAKIPESILE - Huyu ni kada wa CCM siku nyingi na amekuwa MC wa mikutano mikubwa ya chama na Serikali ziara mheshimiwa Rais, mawaziri, wakuu wa Mikoa na mikutano ya dini amekuwa chachu ya maendeleo jijini Mbeya.

Je, Hawa wote wataweza kumng'oa Huyu anayejiita AU wanamwita Rais wa Mbeya, Jongwe, Sugu, Joseph Mbilinyi (Mbunge)?

Maoni yako, unazijuaje siasa za Mbeya kuelekekea 2020, nini kinaendelea Mbeya tupe uonavyo, usikiayo na ufikiriavyo

Naomba kuwasilisha.
 
Hujabalance stori yako
Hao wote wametoka chama kimoja
Watakamuana ukijumlisha na ushabiki atapita ndie sie wale walioshindwa wataenda kumuunga mkono sugu safari inaendelea
 
Hujabalance stori yako
Hao wote wametoka chama kimoja
Watakamuana ukijumlisha na ushabiki atapita ndie sie wale walioshindwa wataenda kumuunga mkono sugu safari inaendelea
NASHUKURU KWA KUJUA HILO
 
Hujabalance stori yako
Hao wote wametoka chama kimoja
Watakamuana ukijumlisha na ushabiki atapita ndie sie wale walioshindwa wataenda kumuunga mkono sugu safari inaendelea
Kuna changamoto hapo! Akisimama Dr Tulia kwenye kura za maoni CCM inaweza kumpitisha ila kwa Sugu anaweza kupata kipigo. Mary Mwanjelwa sioni kama ana nafasi pamoja na eneo la Mwanjelwa kuasisiwa na Babu yake. Halafu Mary ni mke wa watu wa Mara!
Huyo MC ndio yule Bonge? Aendelee tu na u MC wake.
Naona Sugu akipambana na Dr Tulia. Swali ni je Naibu Spika akipata kipigo kwenye sanduku la kura itakuwaje?
 
Kuna changamoto hapo! Akisimama Dr Tulia kwenye kura za maoni CCM inaweza kumpitisha ila kwa Sugu anaweza kupata kipigo. Mary Mwanjelwa sioni kama ana nafasi pamoja na eneo la Mwanjelwa kuasisiwa na Babu yake. Halafu Mary ni mke wa watu wa Mara!
Huyo MC ndio yule Bonge? Aendelee tu na u MC wake.
Naona Sugu akipambana na Dr Tulia. Swali ni je Naibu Spika akipata kipigo kwenye sanduku la kura itakuwaje?
LAKIN vita vya MWANJERWA na TULIA ACKSON NI faida kwa MC MWAKIPESILE ...
 
Mbeya tunaenda na Tulia Ackson iwe jua au mvua. Huyu atatuletea maendeleo wana mbeya. Mambo ya ushabiki sasa hivi hatutaki tunahitaji mbeya yenye maendeleo
 
HABARI!!!!
Mimi binafsi nafuatilia saaana siasa za Mbeya Tangu enzi za Akina Mpesya siasa za Mbeya zinavutia saana, Nafikiri kila Chama sasa kinajipanga ili kuchukua hatamu jijini Mbeya ni miaka kumi sasa Tangu upinzani kuchukua Jimbo hilo.

CCM inajipanga kurudisha Jimbo hilo kwa udi na Uvumba sasa wote wanaonekana kuwania jimbo hilo hawa watatu,ndani ya CCM

1.DR. TULIA ACKSON - Huyu ameonesha harakati zake mapema akija na mkakati wa kusaidia akina mama na vijana kupita Tulia Trust Foundation huyu amejipanga. Je, anafaaa kwa wanaMbeya kuwa mbunge wao?

2.Dr. MARY MWANJERWA - Huyu ni mzawa wa Mbeya Jijini na ndo anajivunia zaidi na faida ya uzawa huyu ni mjukuu wa Mzee Mwanjerwa ambaye alikaa hapo Mbeya na Sehemu hiyo kuitwa Jina lake mpaka sasa sehemu ya wajanja wa Mbeya inaitwa Mwanjerwa na panazalisha zaidi ya 800.M kwa mwezi.

3.MC.MWAKIPESILE - Huyu ni kada wa CCM siku nyingi na amekuwa MC wa mikutano mikubwa ya chama na Serikali ziara mheshimiwa Rais, mawaziri, wakuu wa Mikoa na mikutano ya dini amekuwa chachu ya maendeleo jijini Mbeya.

Je, Hawa wote wataweza kumng'oa Huyu anayejiita AU wanamwita Rais wa Mbeya, Jongwe, Sugu, Joseph Mbilinyi (Mbunge)?

Maoni yako, unazijuaje siasa za Mbeya kuelekekea 2020, nini kinaendelea Mbeya tupe uonavyo, usikiayo na ufikiriavyo

Naomba kuwasilisha.
wazawa tunasema tulia anachukua jimbo lake
 
Kuna changamoto hapo! Akisimama Dr Tulia kwenye kura za maoni CCM inaweza kumpitisha ila kwa Sugu anaweza kupata kipigo. Mary Mwanjelwa sioni kama ana nafasi pamoja na eneo la Mwanjelwa kuasisiwa na Babu yake. Halafu Mary ni mke wa watu wa Mara!
Huyo MC ndio yule Bonge? Aendelee tu na u MC wake.
Naona Sugu akipambana na Dr Tulia. Swali ni je Naibu Spika akipata kipigo kwenye sanduku la kura itakuwaje?
Kama unaishi mbeya kweli utajua wazi kuwa sugu hatoweza kumtikisa Tulia
 
1. Tulia,ameletwa tu na upepo wa kisulisuli. Ameletwa tu ksbb fulani. Ona tu alivyopita pita mpaka kuwa naibu speaker,unaweza kuamini alipita kwenye siasa safi? Tukija kwenye siasa za mbeya hana lolote zaidi kusubiri kupitishwa tu,(lakini si kwenye sanduku la kura). Mwisho kwa huyu watu wa mbeya, 1. Haawawezi kumchagua mwanamke. 2. Hawaitaki ccm,hata iweje. (Japo huyu kwa siasa za sasa naona tayari ameshapitishwa)(si kwenye sanduku la kura). Japo inaweza kuleta mpasuko huko ndani ya chama.

2. Marry huyu siasa zake zilishapita ilitakiwa akomae kipindi cha J.K. shida ya hapo ilikuwa ni ile ile tu. 1. Hawawezi kuchagua mwanamke. 2. Hawaitaki ccm. Huyu mpaka sasa enzi zake zilishapita asahau. Kama angesoma alama angetulia pembeni asipoteze pesa yake.

3. Mc huyu aling'ang'ana hata kipindi kilichopita na alijua trip hii ni yake,huyu isingetokea huo upepo wa kisulisuli,huo hapo #1.,trip hii kweli angepita,hata pamoja na kuwa ccm bado angepita hata kwenye sanduku la kura angeweza,ksbb mbili. 1. Lazima alitakiwa mtu mwingine,wanataka kubadirisha mtu sasa. 2. Ni mtu wa hapa kwa kuwa na ubini wa hapa ungeweza kumbeba. Japo napo ungekuwa uchaguzi wenye ushindani wa hali juu na Jongwe.

4. Sugu huyu ikitokea uchaguzi wa huru na haki mbele ya huyo namba 1. Atapita asubuhi kweupe. Bado watu wengi wana mapenzi nae hasa vijana,isitoshe kinachombeba yeye ndie yupo sasa. Zaidi utakuwa mwanaume mbele ya mwanamke,hiki kinaweza kuwa tiket yake nzuri
 
Back
Top Bottom