Uchaguzi 2020 Siasa za Mbeya: Hapa Mary Mwanjelwa, Huku Tulia Ackson, kule MC Mwakipesile ndani ya CCM, CHADEMA J. Mbilinyi a.k.a SUGU

Uchaguzi 2020 Siasa za Mbeya: Hapa Mary Mwanjelwa, Huku Tulia Ackson, kule MC Mwakipesile ndani ya CCM, CHADEMA J. Mbilinyi a.k.a SUGU

Mchuano hapo ni jongwe na Dada tulia ila tukieka goli la mkono pembeni sugu atapita tena kwa kura nyingi ila wasi wasi wangu tulia anaenda kugombea kwa sababu huenda akawa na support ya vyombo vyetu pendwa na goli LA mkono juu
 
Kama hakuna wizi Sugu atawatandika wote, nachokiona Mbeya ni mapenzi ya Wananchi wengi kwa Sugu, nimemekuona nawasikiliza watu haswa akina mama na wasichana wao wanakula kwa Naibu S, na kulala kwingine
HABARI!!!!
Mimi binafsi nafuatilia saaana siasa za Mbeya Tangu enzi za Akina Mpesya siasa za Mbeya zinavutia saana, Nafikiri kila Chama sasa kinajipanga ili kuchukua hatamu jijini Mbeya ni miaka kumi sasa Tangu upinzani kuchukua Jimbo hilo.

CCM inajipanga kurudisha Jimbo hilo kwa udi na Uvumba sasa wote wanaonekana kuwania jimbo hilo hawa watatu,ndani ya CCM

1.DR. TULIA ACKSON - Huyu ameonesha harakati zake mapema akija na mkakati wa kusaidia akina mama na vijana kupita Tulia Trust Foundation huyu amejipanga. Je, anafaaa kwa wanaMbeya kuwa mbunge wao?

2.Dr. MARY MWANJERWA - Huyu ni mzawa wa Mbeya Jijini na ndo anajivunia zaidi na faida ya uzawa huyu ni mjukuu wa Mzee Mwanjerwa ambaye alikaa hapo Mbeya na Sehemu hiyo kuitwa Jina lake mpaka sasa sehemu ya wajanja wa Mbeya inaitwa Mwanjerwa na panazalisha zaidi ya 800.M kwa mwezi.

3.MC.MWAKIPESILE - Huyu ni kada wa CCM siku nyingi na amekuwa MC wa mikutano mikubwa ya chama na Serikali ziara mheshimiwa Rais, mawaziri, wakuu wa Mikoa na mikutano ya dini amekuwa chachu ya maendeleo jijini Mbeya.

Je, Hawa wote wataweza kumng'oa Huyu anayejiita AU wanamwita Rais wa Mbeya, Jongwe, Sugu, Joseph Mbilinyi (Mbunge)?

Maoni yako, unazijuaje siasa za Mbeya kuelekekea 2020, nini kinaendelea Mbeya tupe uonavyo, usikiayo na ufikiriavyo

Naomba kuwasilisha.
 
nimeamini kweli mbeya hamuijui hiyo makongorosi na lupa zipo mkoa Wa songwe siyo mbeya
Hakika wewe platinum member ni KÀMASI
Platinum inakuumiza roho? Kwa hiyo unataka kila mtu aijue Mbeya? Nani kakwambia kwamba nimesema Lupa Tingatinga ipo Mbeya? Unajibu swali ambalo hujaulizwa? Mimi baba yako wa Kambo kamuulize mama atakuambia kwa kuwa kimbunga kilimpitia
 
na nipo tayar kumuonyesha kwangu Mimi hata ukiwa KABWE stendi ukiita Chizzo naskia nikiwa getho alafu..MTU Wa ileje ndani ndani anajifanya Wa mjini


Kabwe stendi hakuna nyumba za makazi ya watu
 
na nipo tayar kumuonyesha kwangu Mimi hata ukiwa KABWE stendi ukiita Chizzo naskia nikiwa getho alafu..MTU Wa ileje ndani ndani anajifanya Wa mjini


Kabwe stendi hakuna nyumba za makazi ya watu
 
Kabwe stendi hakuna nyumba za makazi ya watu
Wewe ndo hujui siyo hakuna nikutaarifu TU kuanzia Cross way hapa ni nyumba za watu kuja kwenye ghorofa MPYA ya machemba sehemu zote hizo mpaka blue house ni nyumba za watu sasa sijui Kama mbeya unaijua wewe
 
Wewe ndo hujui siyo hakuna nikutaarifu TU kuanzia Cross way hapa ni nyumba za watu kuja kwenye ghorofa MPYA ya machemba sehemu zote hizo mpaka blue house ni nyumba za watu sasa sijui Kama mbeya unaijua wewe


Naijua
 
Angalieni historia ya jimbo la Mbeya hasa hapo mjini, je wamewahi kuwa na Mbunge mwanamama? Toka enzi za Mponda John Alli [ vijana hamumjui huyu alikuwa mbunge wa Mbeya baada ya uhuru] mpaka wa jana wakina Mpesya jimbo hilo ni la BANYAMBALA!!!!
 
Mbeya tunaenda na Tulia Ackson iwe jua au mvua. Huyu atatuletea maendeleo wana mbeya. Mambo ya ushabiki sasa hivi hatutaki tunahitaji mbeya yenye maendeleo
Wewe ni pimbi nini?kwani kuleta maendeleo mpaka awe mbunge?mbona hadi sasa ni mbunge wa kunyenyuliwa,alishaleta maendeleo gani!au kuwapanga foleni kutwa nzima pale kwenye ofisi yake uyole akina mama waliochoka kutwa nzima wakisubili msaada wa elfu tatu nayo nimaendeleo,au kuwapigisha ngoma za asili kinanama wasiojitambua nayo nimaendeleo?kwa nini asiende kwao Tukuyu kusaidia wasiojiweza?
 
Wanambeya mjini ni sawa na wanyalukolo wa mjini wao huwa walishamchagua wamtake hata miaka 5 nyuma huwa awachaguliwi na polisi mbunge wamtakae.Siasa za Mbeya na Iringa ni sawa thus Chalamila kapelekwa Mbeya na Happy kapelekwa Iringa nadhani ndio ma rc watakaotumbuliwa kwa kushindwa kuipa ccm majimbo hayo
 
Kama unaishi mbeya kweli utajua wazi kuwa sugu hatoweza kumtikisa Tulia
Kiccm Tulia hawezi mshinda Mc Mwakipesile anajulikana na ana jina kubwa zaidi litakalomtuliza tulia.Bila msaada wa polisi tulia amwezi sugu kwani alishajizika kisiasa mbele ya lile jeneza,sugu ukubalika na vijana tulia na kina mama
 
Back
Top Bottom