Moja:Uhaba wa elimu kwa wapiga kura, naona wapiga kura wanahadiwa kwa mziki na nyimbo za wasanii waliokodiwa kwa mamilioni ya fedha ili kuongeza mvuto wa wagombea, Wapiga kura nawahurumia baada ya uchaguzi kwani hakuna wa kuwakumbuka.
2: Wagombea wetu wengi empty head/hopeless they know nothing, hawawezi kujenga hoja majukwaani na kujibu hoja kwa weledi.
3: Wagombea wana khofu kubwa ya kupoteza viti vyao
4: We have no free electral commission
2: Wagombea wetu wengi empty head/hopeless they know nothing, hawawezi kujenga hoja majukwaani na kujibu hoja kwa weledi.
3: Wagombea wana khofu kubwa ya kupoteza viti vyao
4: We have no free electral commission