tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Nilishahisi tu story zenu bila kutaja Tanzania haiwi story
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishahisi tu story zenu bila kutaja Tanzania haiwi story
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hata hapa Tanzania tayari RC kasema anauwezo wa kumfukuza mtu Dsm. Mimi nimejihami nahamisha vilivyo vyangu narudi Kulima vinyungu Mufindi
Kwa hiyo ni bora watu wasio na hatia kufa ili kulinda mfumo? Hivi mpaka sasa unajuwa ni watoto wangapi wamekufa kwajilu ya mama zao kukosa huduma salama ya kujifungua. Mifumo mingine inakandamiza masikini na kulinda walio juu.Tuongee tu ukweli. Wale madaktari wakenya ingekuwa bongo wangeshatimuliwa kazi, kinachopendeza Kenya ni swala la ugatuzi hapo kwakweli wametuzidi.Japo yapo mapungufu ya ukabila.Tanzania siasa imeathiri kila idara. Tuwe tunakubali kukosolewa ili tujirekebishe jamani.
Ingekuwa Tanzania huo mgomo ungekuwa ushakwisha, Kenya madaktari wameona wanakaribia uchaguzi - kwahiyo wanatumia nafasi hiyo kushnikiza mambo makuubwa ambayo hata nchi labda haiwezi kuwapa kwa sasa kwa lengo la kuwaharibia JUBILEE Kisiasa , yaani hapo Madaktari wanavyoendelea na mgomo CORD wanachekelea.Tuongee tu ukweli. Wale madaktari wakenya ingekuwa bongo wangeshatimuliwa kazi, kinachopendeza Kenya ni swala la ugatuzi hapo kwakweli wametuzidi.Japo yapo mapungufu ya ukabila.Tanzania siasa imeathiri kila idara. Tuwe tunakubali kukosolewa ili tujirekebishe jamani.
Huwa napata shida sana nikiona Wakenya wanzangu humu wakiponda nchi yetu huku wakidai kwamba tupo nyuma sana kidemokrasia na kwenye mambo mengi. Lakini kwa baadhi yetu ambao tumepata fursa ya kuzitembelea nchi zote majirani kama vile Sudan Kusini, Uganda, Ethiopia, Tanzania, Burundi, Rwanda na Kongo huwa tunawashangaa sana hawa Wakenya wasiokua na shukrani hata kidogo.
umeongea kweli tupu...wanaokupinga ukweli wanaujua ila ndo hivyo tena wanalipwa kwa kupinga ukweli.
Hongera sana kwa kuwa mfuasi mzuri wa siasa za Tanzania. Ni vyema ungeangalia kwa M7 na Rwanda nako kunafurahisha sana.
Huyo anayetaka kufukuza watu ni Msukuma anayetokea Usumani-Mwanza, hivi anaweza kwenda Maneromango na kumfukuza Mzaramo? La hasha kijana Makonda alikuwa anastarehesha barza. Anajua fika kumtoa Mzaramo wa Maneromango, ubavu huo hana!!
Unajua akili za watu sijui huwa zinawaza nini ndugu yangu - Mfano hao madaktari wakipewa wanachotaka ( ingawa wanashnikiza Kwa influence ya kisiasa ) watarudisha uhai wa waliopotea ? Siasa zinapoingizwa kwenye masuala muhimu ndo hivi - Mtu kama unajiona daktari mzuri ( global doctor ) na malipo unayopewa hayakutoshi, acha kazi katafute wanakolipa vizuri - siyo kulazimisha nchi ikulipe kila kitu wakati haina uwezo huo kwa wakati huo !Kwa hiyo ni bora watu wasio na hatia kufa ili kulinda mfumo? Hivi mpaka sasa unajuwa ni watoto wangapi wamekufa kwajilu ya mama zao kukosa huduma salama ya kujifungua. Mifumo mingine inakandamiza masikini na kulinda walio juu.
Ni kweli kwa Mombassa ambapo mimi nina unasaba nako kwa kweli hali sio nzuri. Mji jirani nao uko kwenye harijojo. Yaani kama ukifika Tanga tembelea Chumbageni uone vijana walivyokwisha. Yaani Chumbageni Stars kwishne, mpira woooote tulokuwa tunaringia margoooro. Ule umwamba wa Tanga kwenye mpira umepotea kabisa, sasa sifa imehamia kwenye uwezo wa tumbo kubeba kete nyingi!! Inasikitisha sana.Dah kule kwa M7 hata usitaje maana kuna jamaa moja anaitwa Besigye ambaye imekua desturi lazima achezee kibano kwenye kila uchaguzi, M7 inabidi kuhakikisha huyo jamaa asije kuwa rais maana lazima atalipiza kisasi.
Nimecheka sana hilo la kusema Msukuma ametokea Mwanza na kwenda kung'anga'nia kumfukuza Mzaramo kwao, Barbosa haamini linawezekana.
Lakini twende mbele na kurudi nyuma hatua chache, Makonda naona kwa hili la kupigana na biashara ya madawa ya kulevya anaonekana kushinda vita. Nampongeza sana kwa hilo, mambo mengine inabidi kujifanya kichwa cha mwenda wazimu ili kuyafanikisha. Naomba mtuazime huyo jamaa aje Mombasa maana huko imekua kama kiwanda cha haya mambo, vijana wetu wa kule wanaisha...twafa.
Ni kweli kwa Mombassa ambapo mimi nina unasaba nako kwa kweli hali sio nzuri. Mji jirani nao uko kwenye harijojo. Yaani kama ukifika Tanga tembelea Chumbageni uone vijana walivyokwisha. Yaani Chumbageni Stars kwishne, mpira woooote tulokuwa tunaringia margoooro. Ule umwamba wa Tanga kwenye mpira umepotea kabisa, sasa sifa imehamia kwenye uwezo wa tumbo kubeba kete nyingi!! Inasikitisha sana.
Lazima tufike mahala tuseme basi yatosha!!Yaani majanga kwa kweli, halafu vigogo wa nchi ndio wananufaika.