Siasa za Tanzania huwa zinanifanya nikumbuke Wakenya tumetoka mbali

Siasa za Tanzania huwa zinanifanya nikumbuke Wakenya tumetoka mbali

Tz ?..tusilinganishe vitu vya kipuuzi na kenya...sisi ni "ma....f..la"...tuliambiwa pale jangwani..na its the reality...hate it or like it...mbuzi tu!...bravoo kenya!
Brainwashed whore. Huwa sipendi mtu anaejidharau.. Mods please ban hii ng'ombe!
 
Brainwashed whore. Huwa sipendi mtu anaejidharau.. Mods please ban hii ng'ombe!
Endelea na ushabiki ilihal uhalisia unaonekana...madaktar wa kenya leo hii ndio wenye maslah makubwa kuliko wote E.A.C..still wanasimamia msimamo wa nyongeza na wako barabaran hadi leo..alichofanywa ulimboka?.umewaskia tena?..when was the last time u heard dr. Ulimboka?....uhuru wa kujieleza uko wapi?wher's MP Lema?...pathec cybercrime law...Mello na mushi mahakaman,umejiuliza wenzetu kwenye haya wakoje?au kwasababu tz is "home"...unashabikia uwepo wako ki "shabiki"?....siku ukikitwa ndio utaelewa nini ni umuhim wa utawala wa law na democracy..
 
Acha kuifananisha Kenya na hizi nchi nyingine zilizojaa wajinga na waoga.
Kenya wako level nyingine kabisa Kidemokrasia na kiuchumi.
 
nadhan nimakosa kuutumia alichokisema RC wa dar es salaam kama ndo reality. mkumbuke tuu yule ni teenager tu aliyebahatika kupata nafas hio kabla hajakomaa. na pia ni hulka zake kuropoka na kujitapa. bongo kila kona anapingwa na wala katiba haina kipengele chochote kinachompa mkuu wa mkoa mandate ya kumfukuza mtu yyte kwenye mkoa wake. so isichukuliwe kama ni issue hio hapo mkuu aliropoka tu na wala haiwezekani.
 
Back
Top Bottom