Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Tunapozungumzia siasa, tunajumuisha mambo mengi sana. Kijamii, kiuchumi, utamaduni nk.
Kwenye suala la uchumi yapo mambo mengine yanaweza kuleta athari kiafya. Kwa mfano wapo wanaosisitiza ufugaji wa kisasa kwa kutumia vyakula vyenye kemikali za ukuzaji.
Au kilimo cha kutumia kemikali.
Swali ni: je, waliotengeneza au kusisitiza matumizi ya kemikali hizo wanatumia mazao yatokanayo na hizo kemikali?
Ukisikiliza hotuba za rais SSH, ambaye wengi tunakubali ukweli na uwazi wake; tutagundua mengi yaliyofichika nyuma ya vinayoitwa 'vya kisasa'. Ni nani wa kutumia?
Kwenye suala la uchumi yapo mambo mengine yanaweza kuleta athari kiafya. Kwa mfano wapo wanaosisitiza ufugaji wa kisasa kwa kutumia vyakula vyenye kemikali za ukuzaji.
Au kilimo cha kutumia kemikali.
Swali ni: je, waliotengeneza au kusisitiza matumizi ya kemikali hizo wanatumia mazao yatokanayo na hizo kemikali?
Ukisikiliza hotuba za rais SSH, ambaye wengi tunakubali ukweli na uwazi wake; tutagundua mengi yaliyofichika nyuma ya vinayoitwa 'vya kisasa'. Ni nani wa kutumia?