Siasa za Uchaguzi wa 2025 zinamng'oa Rais wa CWT kiulaini

Siasa za Uchaguzi wa 2025 zinamng'oa Rais wa CWT kiulaini

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Huyu mama amekuwa na msimamo ambao umemfanya atofautiane na Katibu Mkuu wake Ndugu Seif. Katibu Mkuu wake huyo pamoja na kuwa na kesi ya jinai inayohusu ubadhirifu wa fedha za CWT Mahakamani hajaweza kusimamishwa kazi na ndiye ameendelea kukiongoza Chama kupitia Kamati Tendaji.

Amekuwa na tuhuma za kugawa fedha ile mbaya na ndiyo hizo fedha amezitumia kubadilisha upepo ili Rais wao ndiyo aonekane mbaya.

Tayari Rais huyo amesimamishwa na kwa mujibu wa Katibu mwenyewe kwa za chini chini ni kutokana na yeye kuingia kwenye kundi mojawapo la kuweka uongozi wa nchi mwaka 2025 - kitu ambacho Rais wa CWT anasemwa kusita sita kutumika kwenye hizo siasa.
 
Kama lichama liliingia kwenye siasa na kuunga mkono shiiishiiemu na majizi mengine huku waalimu wakiendelea kuwa tabaka la wafanyakazi duni unategemea nini? yaani wawaue kabisa kimsingi hicho chama hakina maana yoyote, baada ya kina mwalimu Oluoch na wengine wa miaka ile kutoka hatujawahi kusikia chama kinakomaa kutetea walimu zaidi ni kujiingiza kwenye masiasa ya kijinga na kusahau lengo la kuanzishwa kwake. Msitetee ujinga CWT is a mess
 
Back
Top Bottom