ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Kwa wale wenye ufahamu wa SIASA za uingereza tunaomba mtufahamishe.
Ni kwanini mawaziri wakuu wa hii nchi hawadumu madarakani. Utaona muda mfupu wanajiuzulu. Tatizo ni nini?
Mfano wa hivi karibuni ni John Major, Tony Blair, Gordon Brown, David Cameroon, Tereza May na Boris Johnson. Wote Hawa wamehudumu muda mfupi sana.
SIASA zao zikoje?
Ni kwanini mawaziri wakuu wa hii nchi hawadumu madarakani. Utaona muda mfupu wanajiuzulu. Tatizo ni nini?
Mfano wa hivi karibuni ni John Major, Tony Blair, Gordon Brown, David Cameroon, Tereza May na Boris Johnson. Wote Hawa wamehudumu muda mfupi sana.
SIASA zao zikoje?