Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Kuna mambo meeengi hauyaelewi, hata najisikia uvivu kuandika na kukuelezea hapa. Nenda ofisini kwa Kalemani watakwambia kwanini wameingia hayo makubaliano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo 55M, sasa kila mmoja akisema aende kwa Ofisini kwa Kalemani akaambiwe hayo, HIVI HUYO WA MILIONI 55 ATASUBIRI SIKU NGAPI HADI APATE NAFASI YA KUWAONA?Kuna mambo meeengi hauyaelewi, hata najisikia uvivu kuandika na kukuelezea hapa. Nenda ofisini kwa Kalemani watakwambia kwanini wameingia hayo makubaliano.
Tanesco tunaomba jibuUpo ukweli P katika bandiko lako hili.
Ni kama mto Ruvu tu, unaona ni kama unanyooka hivi, halafu badaye ni kama unaruudi tena nyuma.
Tanzania ni nchi ya ajabu, kunamahali tunaweza kuamua kupiga hatua, halafu Wakati mwingine mara turudi nyuma tena!
Mbona gas inatumika ww tatizo lako nn nenda Kinyerezi pale ukajionee..!Matumizi ya umeme wa gas ile tuliyokuwa tunaimbishwa uchumi wa gas kama wendawazimu yameishia wapi?
Kuhusu umeme wa Gas ,Serkali iliachana na suala hilo kutokana na gharama kubwa sana katika mradi huo (hadi mradi kukamilika unahitaji kama nusu bajeti ya Tanzania nzima) hivyo mradi umesimama kuepuka kuendesha mradi kwa hasara.Matumizi ya umeme wa gas ile tuliyokuwa tunaimbishwa uchumi wa gas kama wendawazimu yameishia wapi?
Pasco ni mwandishi wa habari, atawasimulia wengine.Mkuu
P.Mayalla,
Baada ya juona teuzi zote zinakupaita bila kusikia hata fununu ya jina lako kutajwa,
Sasa umeanza kuludi kwenye njia yako.
Ndio! P ni mwandishi mzuri, lakini kwa makusudi kabisaa!! aliamua kuacha misimamo yake, iliyomjengea heshima hapa jukwani!!Pasco ni mwandishi wa habari, atawasimulia wengine.
Mbona gas inatumika ww tatizo lako nn nenda Kinyerezi pale ukajionee..!