Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifike mahali hii cold war iishe. Tena tuache kabisa kushabikia haya mambo. Haipendezi kuwa na jirani ambaye hamsalimiani hata kama wewe ni tajiri na una kila kitu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Wana Jamiii
Nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda.....siamini ninachokiona machoni mwangu....kuanzia jana tarehe 1/09/2013 serekali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara ( ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo ( Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.
Kwa taarifa ambazo sio rasmi kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka hapa mpakani, na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo zina plate numbers za Tanzania.
Wanajamii hii ina madhara gani kwa uchumi wa Tanzania kwani akili ya harakaharaka hii ni some sort of Protectionism ila kwa mbali inaweza ikawa ni muendelezo wa chokochoko.
Taarifa yako haijakamilika. Haujasema kuwa magari ya rwanda yanayoingia tanzania yamekuwa yakitozwa hiyo dola 500 for many years. Wamejaribu ku plead serikali yenu ipunguze ili hiyo gharama iendane na za nchi nyingine wanachama wa East Africa. Tanzania walikuwa wanajishebedua.
mkuu, mkiona kagame anapiga kelele ni amejaribu sana kuwa accomodating ila kuna mahali inafika mtu unashindwa kuvumilia. tanzania inabidi mjirekebishe katika karne hii ya utandawazi na ushindani.
Tehetehe, usikose kushea nasi lecture yake utakaipatangoja niende kwa braza gugo
Una kimavi?Wabongo wameguswa Nyusi za ---- wanakua wakali sana Tatizo wabongo wanapendwa kueshimiwa kumbe hamna Kitu Bandari Bandari bandari Bongo ..!!!!????
jamani hv serikali yetu ina mkakati gani kukabiliana na hali hii! Mi naona tunapiga siasa kwa mambo serious ya uchumi tangu pk na jamaa zake waweke nguvu kwenye bandari ya mombasa cjackia mkakati maalum wa serikali kukabiliana na hali hii 2najilisha upepo2 tunataka gov ije smart na mkakati wakufunika walipopunguza hao jamaa tucjidanganye kwamba hatutaathilika kwenye biashara hakuna pesa kdg ukiikosa lazima uijutie tucdanganyane! Kiukweli nacjikia vbya sana kuona nch hii km hatuna viongozi wenye vision!
Rwanda iiwekee vikwazo Tanzania??? Ni sawa na syria kuiwekea vikwazo marekani.
kupitia mombasa itakuwa ngumu sana,kwa maana kutoka mombasa hadi kigari ni km kama350 zaid ya kupitia tanzania na ni zaidi ya masaa saba,sa bas us 500 ni sawa na TSH 810000(1620 times 500USD), na kwa hesabu ya haraka haraka lita moja ya disel ni TSH 2100 na gari laweza consume 1litre fo 2km,hence 2100 times 150=367500 ukiondoa gharama ya muda na uharibifu wa spea na manyanyaso ya kenya kama tuwajuavyo, so Tanzania lazima watapita tu:A S-fire1:Mkuu, ukimputupia mwenye mzigo naye atatafuta sehemu yenye nafuu kwenye usafirishaji ili bidhaa yake iwe na ushindani sokoni. Maana yake ni kwamba bidhaa hiyo hiyo ikipita Mombasa itakuwa bei nafuu kuliko Dar kwa ajili ya usafirishaji tu. Mwisho wa siku kila mwenye mzigo atapitisha Mombasa - na hilo ndio lengo.
ccm haihusiki hapo bali ni jeuri na kiburi cha mhuni kagame