Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,417
50 yrs ya uhuru, maendeleo mpaka tuambiwe, lakini kwa macho hayaonekani. Hilo ni kosa lako kuamini na kushabikia CCMuono wa kisigino..............kinaona
kilipotoka na si kinapoenda..................siyo kosa lako mkuu
Wana Jamiii
Nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda.....siamini ninachokiona machoni mwangu....kuanzia jana tarehe 1/09/2013 serekali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara ( ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo ( Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.
Kwa taarifa ambazo sio rasmi kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka hapa mpakani, na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo zina plate numbers za Tanzania.
Wanajamii hii ina madhara gani kwa uchumi wa Tanzania kwani akili ya harakaharaka hii ni some sort of Protectionism ila kwa mbali inaweza ikawa ni muendelezo wa chokochoko.
Watakaoumia ni wanyarwanda wenyewe,kwani ninachojua hakuna mfanyabiashara anayepata hasara hata siku moja! hivyo kama bidhaa kama zinapelekwa Rwanda bei ya bidhaa zitapanda tu!
Hivi hao WA.tz wanaenda Rwanda kufuata nini?
Hatimaye serikali ya RWANDA yapandisha ushulu wa kulipia mpakani kwa magari ya kutoka TANZANIA pekee, Magari yote yaliyosajiliwa TANZANIA yamepandishiwa bei kutoka Dolla 153 hadi dolla 500. Hii inaonesha picha kamili kwa kutaka wafanyabiashara kutoka Rwanda wahamie Mombasa . kwa upande wa Kenya na Uganda ushulu kwa magari yanayoingia Rwanda imebaki dolla 153. HUYU JAMAA ANAITAJI KUFUNDISHWA.​
Katika hali ya kushangaza Serikali ya Rwanda imeongeza bei/gharama kwa mabasi yanayotoka Tanzania kwenda Rwanda. Kutoka USD 152 mpaka USD 500! Kweli Kagame yuko serious..
SOURCE: EATV News
yani tunaumiza kichwa kisa ka nchi kama Rwanda ambayo idadi ya mizigo yake yote inayoshafirishwa uko ni kidogo kuliko mizigo inapelekwa kwenye mkoa wa arusha.
Katika hali ya kushangaza Serikali ya Rwanda imeongeza bei/gharama kwa mabasi yanayotoka Tanzania kwenda Rwanda. Kutoka USD 152 mpaka USD 500! Kweli Kagame yuko serious..
SOURCE: EATV News
kuna mtu mmoja aliwahi kupost akisema kagame ni mad man.
Kwa move hii atawachinja wafanyabiashara wa Rwanda wote maana hawatakubali kusafirisha mizigo kutoka mombasa mpaka rwanda wakati shortcut ipo.
hajui hata hesabu ya kujumlisha. Anadhani anawakomoa watanzania kumbe anamkomoa mlaji ambaye ni mnyarwanda atakayelipia gharama ya kulipia hiyo dola 500.
Kwani Rwanda wanaenda Watanzania au Warwanda? Huyu kagame mgonjwa kweli!!!
Tumia akili, hapo maana yake ni kuwalazimisha wafanyabiashara wa Rwanda wapite Mombasa.
Mkuu weka tofauti kando kaka, Hii ni business usifanye mchezo. Mwanzoni walikuwa wakitoza 150 USD per truck sasa wameongeza mpaka 500USD kwa magari ya TZ pekee, Ya nchi zingine wanachaji hiyohiyo 150usd. Sasa inaonekana hujui hali ipoje kaka.
Ngoja nikuitie jamaa zangu kwa majibu zaidi Ritz ZeMarcopolo chama R.B etc