murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 638
wewe chunga mdomo wako! sisi huwezi kutulinganisha na kinchi kama mkoa wa singida! sisi tuna bandari,maziwa na visiwa, mapori,milima na takataka kibao mpka nchi matajiri wanatugombania hao wana nini zaidi ya damu ya ma elf ya watu katika nchi ndogo kama hiyo!
Yaani wewe ndio kabisaaa. Kwa hiyo unajivunia kugombaniwa na wazungu na wachina. Hiyo mentality ndio unazaa umaskini. Unajua hadithi ya mwanamke mtaani aliyekuwa anagombaniwa na vijana wote wa mtaani? Mwisho wake ni nini?