murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 638
Unakumbuka baada ya vita ya mtukula? wengi wa wale waliopigana vita, ndio hao wapo mitaani wakiomba omba baada ya kupata vilema na serikali ya CCM imewatupa kabisaa. Unakumbuka hali ya maisha ilivyokuwa ngumu? do you really wanna go there again? Ain't got no time to talk to you and don't waste your valuable time to talk to me, just nenda kajiandikishe jeshini uende vitani
Fitinamwiko, mimi nimemuambia huyu mokala1989 niko tayari kumtumia nauli aende pale Goma afanye mazoezi kidogo apate experience ya kuweza kumuondoa Kagame. Muulize kama atakubali ofa yangu.