Pre GE2025 Siasa zaingia michezoni, baada ya CCM kuja na T-shirt za 'Watoto wa Mama' CHADEMA wamekuja na T-shirt za 'Watoto wa Baba'.

Pre GE2025 Siasa zaingia michezoni, baada ya CCM kuja na T-shirt za 'Watoto wa Mama' CHADEMA wamekuja na T-shirt za 'Watoto wa Baba'.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Dawa ya moto ni moto, hii inaitwa Ubaya Ubwela.

20241023_083349.jpg

20241023_104207.jpg

20241023_082512.jpg


20241023_084001.jpg
20241023_083649.jpg
 
Uvccm wameshauri Chadema waache kulalamika sana ifanye vitendo hivi ndio vitendo vyenyewe.
Yaani hapo ndio wako vizuri

Wameshasogezwa kando… Acha wanaoprint tisheti wavute pesa
 
Hizi Simba na Yanga niliwahi kusema hapa zinatumika vibaya nikabishiwa haya

Niliwahi kuandika pia miaka kadhaa nyuma.

Simba na yanga ni janga kwa taifa.

 
Kwa hiyo chagadema mmeshakubaliana kwamba 2025 mnamsimamisha Lissu?
Kwani kuweka picha ya Samia kwenye pikipiki ina maana CCM hawana mgombea mwingine mwenye angalau busara kidogo zaidi yake.
 
Back
Top Bottom